Habari humu jamvin!
Nina PC yangu Lenovo window 10 nikitaka kuweka program yeyote inakataa...inahitaji trusted programs
Nitafanyaje na ninahitaji kuistall MS Office.
Kuna spradsheets za google nazijaza zinahusiana na wasanii wa Africa. Sasa ninahitaji kuaccess their spotify pages naambiwa not available in your country. Kama kuna VPN extension nzuri naomba mtu...
Kwa watumiaji wa airtel ambao huwa mnapita youtube kuangalia videos. Je, huwa mnapata hili tatizo la baadhi ya video ukiplay ikifika sekunde kama ya 5 hivi inastop?
Nimeamua ku-skip google kidogo maana ni kitu sikutegemea. Nimeshindwa kupata emoji iliyovaa headphones. Nikashtuka kidogo.
Naomba kuuliza kwa wenzangu kama nyie kwenu ipo?
Uzi Tayari.
Habari zenu wadau, Naomba msaada wa kujuzwa kuhusu hii kitu Kwenye simu za iphone. Kwa sasa kumekua na matoleo ya iphone ambapo ni dual line ( laini mbili), lakini laini moja inakua ni eSim...
Kama mnavyojua tulikuwa tumezoea kuagiza mizigo kutoka China kupitia AliExpress lakini kutokana na Coronavirus kuathiri China kwa kiasi kikubwa na hivyo kuathiri safari za ndege kutoka huko, sasa...
My computer has a lot of duplicate files that it is hard to physically delete them, is there any free software to automatically delete the repeated files and remain with one?
Between 1949 and 1962 everything we needed to know about microwaves was already known. All interference of the human condition was known by 1952. All birth defects, organs, cells, brain functions...
Wakuu habarini za usiku huu, naomba kujuzwa application nzuri ambayo itanisaidia kuona football live kwa simu ya iphone (IOS).
Natanguliza shukran kwa wenye kufahamu.
Wakuu,
Simu yangu samsung A50, nikipiga au kupigiwa simu, baada ya dakika chache wakati naongea hukatika na kuwa kama inaji-restart hivi. Yaani siwezi kuongea zaidi ya dk. bila kukatika.
Tatizo...
Habari za leo wataalamu hizi kazi ni uhakika wangu popote mlipo mko vema na mnapambana vilivyo na haya maisha.
Nisiwachoshe sana na kama mnavyoona title yangu hapo juu[emoji115] nimeona ni vema...
Habari zenu wakuuu.
Naomba niende straight ili nipate ushauri kama ninavyohitaji.
Last Week Nimenunua Simu (Infinix Hot 8) nadhani wengi mnaifahamu aina hii ya simu ikiwa nimeshawishika na sifa...
Hi everybody,
- I started using an android phone, I want to use the ogwhatsapp application on my new android phone but have not yet known where to download and install it for safe, easy and best...
Ni baadhi ya vifupisho hutumika na kuandikwa maeneo mbalimbali.
•CPU ...Central Processing Unit
•GPU... Graphics Processing Unit
•LCD... Liquid Crystal Display
•GPS... Global Positioning...
Kama Uzi unavyo jieleza tupo hapa kupolea maoni maono pamoja na Ushuhuda kutoka kwa watu mbalimbali kwa pamoja
kuusiana na kuagiza au kununua bidhaa kupitia Kikuu.
Naomba kwa pamoja tuanze...
Habari wanaJF,
Kwa wale wanao sajili laini hivi kuna uwezekano wa kusajili laini za Halotel kwa kutumia Finger Print ya Voda au kama kuna njia nyingine naomba mnisaidie maana nimekosa Finger...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.