Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Watalaam habar Naomba mnisaidie cm inaandika imejaa hata nikifuta baadhi ya vitu bado inaleta msg hiyo nishafuta app n Picha na video lakin bado.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau inakuwaje hivi ni shop/studio za namna gani ambapo wanabadilisha negative photo kuipeleka kwenye digital hard copy anayefahamu msaada?
1 Reactions
6 Replies
910 Views
Xxxxx Xvvbxxc #^*>_: $_^
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Nmejarb kudownload movie kupitia yts na nina app ya utorrent kwny cm shida inakuja hapo cjuh naendeleaje. Naombeni msaada wenu. wakuu
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu karibuni kufahamishana ni kampuni gani zina betrii nzuri za simu au ni vigezo gani vya kuangalia ili kutambua ubora wa betrii haswa katika uimara na utunzaji wa chaji. Karibuni.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naomba msaada kujua jinsi ninavyoweza kupata file lenye orodha ya cache zote za browser ya chrome tangu nilipoanza kutumia hii browser. Nimejaribu about//:cache lakini inaonekana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nina kimanual changu nataka kujua naweza vipi kuifanya mtu asiediti? Kwenye Pdf najua mtu anaweza copy na kupaste sasa nataka mtu asiweze kuicopy wala kuipaste ili abadilishe iwe yake...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau wa JamiiForums habari yenu, Kuna files ambazo ni nyeti sana nilizi-ZIP na ku-Encrypt kwa password mwaka 2008-2009. Bahati mbaya sana nimesahau Password yake tayari nimehangaika sana pasipo...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nina radio yangu ya Sony nimetoka kuipenda sana, hivyo kuna tatizo limejitokeza sasa nahitaji fundi wa uhakika ambae atanifanikishia jambo langu. Na kifaa kinachohitajika ni hicho hapo chini...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari Wakuu, Ninaomba mwenye kujua Application ya kurecover deleted photos kwenye Android aniambie jina lake ili niitafute Aidha, iwe inafanya kazi maana ukienda Playstore nyingi ni fake na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nashindwa kufanya hivyo, sio kwa cable wala bluetooth. Any suggestion?
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba msaada wa kuiwezesha laini ya TTCL kuwa ya Chuo, Naomba kujua utaratibu wake
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wanaJF, Nimekuja kwenu kuomba msaada kwa yoyote mwenye kuweza kunifahamisha zaidi jinsi nitakavyoweza kudownload CORELDRAWX3 Au nyingine yeyote yenye kufanya kazi sawa na hii Asanteni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninamemory card yangu ya sandisk ya 64Gb tatzo lake kubwa ni virusi yaan unaweza kuingiza vitu vyako lakini ukakutaa baada ya miezi miwili au 3. Unakuta baadhi ya nyimbo zina goma goma naombeni...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za muda na siku JF members? Hopefully mko vema na harakati zinaendelea. Nilishawahi kuwa na threads kadhaa hapa jukwaani ambapo threads zangu zililenga kwenye mobile software fix, tips...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Hivi wadau ni Mimi tu au? Ni mimi tu ninayeona Simu za Zamani za Nokia kama Nokia2700, Xpress Music, E71 N.k zilikuwa Bora kabisa kuliko za sasa? Je, Nokia hawawezi kuzalisha tena hizo Simu?
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari ya majukumu wadau wa JamiiForums. Hivi karibuni App ya Google Chrome imekuwa ikijifungua tabs za matangazo bila mimi kuigusa. Mfano: Ninaweza kuwa nipo YouTube halafu ghafla Google Chrome...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Leo tunaenda kuangalia jinsi ya kutengeneza maabara yako binafsi kwajili ya majaribio ya kufanyia udukuzi.. Kama inavyo fahamika kuwa maabara ni sehemu maalumu ambayo tafiti mbali mbali...
8 Reactions
17 Replies
3K Views
Shida ni nini wajuzi maana nimejaribu kudownload hiyo APK kupitia Opera Mini imeandika hivyo. Nikaona ngoja nijaribu kudownload kupitia Google bado pia imeniandikia hivyo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo Juni 23, China imezindua satelaiti yake ya mwisho kukamilisha mfumo wa ‘Geolocation’ unaoitwa BeiDou Navigation Satellite System (BDS) Satelaiti hiyo iliyopewa jina la BeiDou-3GEO3...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom