Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu na wataalamu wa Programu za Android na PC je program/app gani imetumika kuandika juu ya hizi picha? Nitashukuru sana Nikizipata!
0 Reactions
1 Replies
709 Views
Habari! Wakuu naomba kufahamu wapi kwa Kariakoo naweza pata hii cable maana nimezunguka Kariakoo Mtaa wa Aggrey na Likoma pale kwenye maduka wengine walikuwa hata hawaelewi ni nini...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari ya weekend wakuu, Samahani naombeni mnisaidie kidogo. Nataka kubadilisha kifaa cha mawasililiano na lengo langu ni kati ya Samsung s8 au Nokia 6.1. Kwa wataalam naombeni ushauri ipi kati...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wakubwa poleni na majukumu nimekutana na shida moja nina simu moja ya kichina ( huawei honor 10 lite) najaribu ku install androids apps kama whatsapp, na google play hazikubali mwenye ufaham
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Habarini wakuu, natafuta applock fulani hivi niliwahi itumia kwenye simu yangu ya Oppo. App ile niliioenda kwa sababu ilikuwa,kama ukitaka kufungua file nilikolilo ck basi inakuandikia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Swali langu ni kujuzwa kuhusu rocket ni aina gani? Ya ndege Maana naiona sana juu mawinguni inapita inatoa sijui ni moshi ule unakuwa mrefu hivi harafu baadaye unafutika, Je? Uwanja wake upo...
2 Reactions
30 Replies
13K Views
Kama inavyojieleza ... Ninahitaji uelewa wa solar power sytem ambayo itaweza kuwasha taa 14 na TV ambayo sio ya solar na sehemu ya kuchaji simu. Kwa mahitaji haya mahitaji solar yenye ukubwa gani?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu, Kwa mtu mwenye uelewa wa jinsi ya kutengeneza video clip hasa zile za mpira (highlight sport) na kuupload YouTube bila kupata copyright claim naombeni msaada. Asanteni
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wajuvi wa mambo haya tusaidiaje utofauti wa hiz koz na ipi ni nzur zaidkatika ulimwengu huu wa technologia
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Nataka kununua sub woofer za aborder ila sijawahi kuzifahamu popote, hivyo sina amani naombeni mnipe ujuzi kwa wale walozitumia, na bajeti ya laki 1. Pia nataka mniambie sub woofer amayo...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Teknolojia ya #5G imetumika katika maisha ya watu kwenye kipindi cha virusi vya Corona. Gari la kujiendesha bila ya watu linatumika kupeleka mizigo kwa wakazi wa wilaya ya #Changxing, mkoani...
1 Reactions
4 Replies
872 Views
Kati ya hizo Laptop mbili niichukue ipi wakuu. Zote mbili zinaweza tumika Kama TABLET Naamanisha ipi Ina uiamara zaidi kuliko zingine Itatumika kwa kazi za kawaida tu Cc.@cheifMkwawa
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari... Naomba maelekezo kuhusu namna ya ku-update android ya simu yangu. Simu yangu ni samsung S7 Edge ya 2016 ina android version 6.0.1 Shukrani. Chief-Mkwawa
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jana nimechelewa job kulikua na overtime kazini tumerudi sa 3 usiku Asa wife alijua nipo kwa mchepuko wakati sms nilimtumia kua nitachelewaa. Leo asubuhi natoka kwenda job nataka nitume SMS naona...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari wakuu, baada ya kuvumilia changamoto za simu za TECNO hasa upande wa possessor, sasa niseme basi! Imetosha, labda kwa kuwa sijawahi kununua zile kubwa mfano Tecno i7? Shida itabaki...
3 Reactions
242 Replies
29K Views
Msaada account yangu ya Facebook niliiondolea email na namba ya simu nikitaka kuifuta haikubali, au kufuta picha hazifutiki nikitaka kuilogin holla hata nikitaka kuweka namba au emails haikubali ...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nina printer ya inkjet, naona inaprint karatasi chache kama 150 tu imeisha na wino ni bei, Nimeshauriwa kununua laserjet printer. Je ni ipi nzuri nayoweza kupata kwa bajeti ya laki 2
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kusaidiwa tatizo hili lililoanza hivi karibuni. Niliponunua na kufanya setting za kawaida za hii Smart TV Sony bravia yenye bowser Opera nilikuwa nikiona videos zote za you tube na za site...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni earphones gani nzuri zenye quality nzuri ya mziki? Zikiwa wireless itapendeza zaidi. NB, najitaji earphones zisizotumbukia katika maaikio zikazama kabisa. Kwani hizo nizitumiapo, hufanya kichwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf Leo nilikuwa naomba kujuzwa kuusu izi Intel HD 3000, 4000 na zingne pia nimekuwa naangaika sana kuelewa maaana Intel HD 3000 nimeikuta kwenye core i3 na Intel hd 4000 nimeikuta...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom