Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana JamiiForums, Naombeni msaada wa kudownload application ya JamiiForum kwenye PC Natanguliza shukrani zangu kwenu
0 Reactions
2 Replies
675 Views
Wakuu habari zenu wana JamiiForums, Nilikua nataka nia Update Android Version kutoka 5.1.1 kwenda Android 7 kwenye simu yangu. Nimejaribu lakini nimeshindwa, Je, nifanyaje ili niweze Ku-Update...
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Inasikitisha na kuhuzunika pale utakapo ibiwa simu yako au kupoteza. Kwanza kabisa unajiuliza nianzie wapi niweze kuipata, uchungu huongezeka zaidi pale utakapopiga na simu kuita. Unaweza...
3 Reactions
16 Replies
10K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku. Nahitaji msaada toka kwenu nina Subwoofer aina ya aborder (Model: AB 3350 imekumbwa na tatizo la sauti). Ninapoiwasha inatoa sauti ya chini sana wakati...
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Habari za mujukumu WanaJamiiForums, Ninaomba msaada wa kufahamu jinsi ya kutatua tatizo la simu kujiweka loud speaker bila kubonyeza sehemu ya loud speaker mara unapopokea simu Asanteni
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nawasalimu wandugu. Nimekuwa na shida ya matumizi ya umeme kwenye friji. Kwa siku yaani 24hrs inatumia unit 5 hadi 6. Nililazimika kuuza friji ya zamani iliyokuwa ya mtumba (second hand) na...
1 Reactions
84 Replies
30K Views
Tecno Spark 4 Air ni simu yenye sifa zifuatazo:- 1. Display: IPS LCD, 6.1 inches 2. OS: Android 9.0 (Pie) Kwa kuboresha toleo la hivi karibuni la mfumo endeshi na kiolesura cha mtumiaji...
4 Reactions
42 Replies
10K Views
Habarini ndugu zangu wana JF, Naomba kusaidiwa namna ya kutengeneza transmitter na receiver yake yenye uwezo wa kunasa umbali wa takribani metre 1000 kwa kutumia spea zinazoweza kupatikana apa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Natafuta laptop charger tajwa hapo juu. Zingatia zifuatazo: 1. Laptop Charger iwe mpya 2. Nitajie bei inbox (PM) 3. Risiti iwe ya EFD kwa kuwa nanunua kwa ajili ya taasisi The...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu wanajanvi Niwape pole sana na majukumu mnayo endelea nayo mpaka sasa. Shida yangu kubwa nazitafuta hizi laptop, sasa ni kipindi cha miezi sita hapa Tanzania bila mafanikio yoyote. Ninaomba...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za majukum wadau wa JamiiForums, Naitaj kujua jinsi ya kuyahuisha mafaili yaliyo athiriwa na ZWER Virus katika Computer. Hii ni baada ya kirusi huyo kuingia na kuyafanya mafaili yote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello, Naombeni msaada wadau console yangu kuna mtu nilimuazima juzi kati anadai kipind anacheza ili zima na kuwaka hivi ghafla iko jitune kwenye resolution hiyo ya 480p toka hapo haijawahi...
0 Reactions
3 Replies
614 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza....napenda kujua kama kuna app ya kurudisha sms ambazo tayari zimefutwa na ukaziona tena nifahamishe
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Please mwenye nacho ama anayejua sehemu naweza kupata Kioo full+ touch ya samsung Galaxy A7 2017.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Je inawezeka kuchip Xbox 360 kwa software pekee? Mimi nina console ya xbox360 sasa nahitaji kuichip wakuu mwenye maujuzi tafadhari anisaidie
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Sasa unaweza kununua roboti kutoka Boston Dynamics kampuni inayomilikiwa na Softbank. Karibu Tuliandika mengi kuhusu roboti anayetengenezwa na kampuni ya Boston Dynamics. Kampuni ya Boston...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
China Jumanne ilirusha satilaiti ya mwisho ya Mfumo wa kuongozea wa BeiDou(BDS), ambapo inaonesha kukamilika kwa uendelezaji wa mfumo huo nchini, miaka 26 baada ya ujenzi wa BeiDou-1 kuanza rasmi...
3 Reactions
3 Replies
914 Views
Kwa wale watalaam wa mambo ya technology VPN ipi ni nzuri kwa matumizi? ====== A virtual private network (VPN) extends a private network across a public network and enables users to send and...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
Wako live Youtube, andika Huawei Central. Nahisi wanatambulisha OS mpya, ARK OS au HONGMENG. Je, kifo cha Android kimewadia?
1 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari wanaJF, Wajuzi wa haya mambo mnijuze kwanini hivyo vitu vinatumia sana chaji na kufanya battery kuishiwa chaji haraka Ni nini na vinafanyaje kazi pia naomba kujua ninawezaje kuzuia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom