November mwaka jana nilileta Uzi ukihusu tahadhari LG Workshop Dar, wakati ile nilipeleka flat screen TV kwa matengenezo.
Tatizo ni picha kuonekana na kupotea ila sauti haipotei, nimeipeleka...
Hello wanaJF,
Natumaini mko poa, naombeni mnambie app nzuri ya kudownload miziki kwenye iphone, natumia audiomack lakini sa nyingine nimependa wimbo flani nikienda kuusearch kule siupati.
Asanteni
Leo, whatsup imetangaza kuzindua huduma yake mpya inayomruhusu mteja kutuma na kupokea pesa bure bila makato yoyote.
Mteja anachotakiwa kufanya ni, kuunganisha Whatsup pamoja na card yake ya...
Wakuu telegram na WhatsApp kwangu naona ni mitandao inayofanana katika option mbalimbali.
Je iweje WhatsApp ifahamike na iwe na watumiaji wengi kuzid Telegram?
Mkujeni mnijibu
Habari wana jamii, nlikuwa na mkanda wa VHS au matofali kwa wengi walivyozoea.
Sasa nlikuwa nataka niamishe content zilizopo ndani niweke katika CD kama unajua mtu anaehusika na kazi hizi naomba...
Ndugu naomba kujuzwa ni Magame yapi yanacheza au yanakubali kuplay kwenye desktop ya core 2 na ram 2gb hdd 320 na window ipi ni nzuri kwa magame kutokana na uwezo wa mashine yangu.
Mtandao wa Twitter umetambulisha mfumo mpya ambapo watumiaji wataweza kutuma ujumbe kwa sauti (Audio Tweets) wenye sekunde 140
Mbali na kutuma ujumbe wa kawaida (Tweet), kuambatanisha picha au...
Habari za majukumu?
Niko na macbook pro ya mwaka 2011 ili corrupt os sina hakika na os iliyo kuwemo awali nimejaribu kuweka os mbali mbali kama mac sierra, Mac OS X Snow Leopard zimekataa...
Kwa wale wanaokumbuka kuna jamaa waliibuka Jijini Dar es salaama na kuanza kukamata Computer ambazo zimepigwa Window fake na software nyingine za Microsoft.
Nakumbuka yule Jamaa wa Sunrise...
Wapendwa Wakuu habari za mida hii,
Shida yangu ni hiyo kuna baadhi ya thread ukiwa unapita unakiona kipo mbele ya threads. Sijajua kina maana gani au ndo ban hiyo,
jamani naomba msaada how to restore back my fb account bcuz kuna mtu ameni-hack, naombeni ujuzi kidgo jinsi ya kuirejesha. pia itakuwa ni elimu pia kidgo kwa wale ambao wanahitaji kujua na kujifunza
Mwenye kujua wapi naweza kuhanisha picha kutoka ktk vhc( kama takua nimekosea namaanisha ile mikanda ya video a.k.a matofal) kuweka ktk flash.. nipo Dar
Habari za asubuhi wakuu, Heri ya mwaka mpya 2017.
Natumani sikukuu inaenda salama kabisa.
Ni vyema kabla ya kufanya manunuzi kuchunguza kwanza vitu/vifaa husuka unavyonunua kama vinakidhi kiwango...
Habari ya muda huu viongozi.
Kuna hii simu hapa ni TECNO C7 hii simu niko nayo muda mrefu tangu mwaka 2017 sijawahi kupeleka kwa fundi na haijawahi kunisumbua
Sasa juzi hapa nilikua na peruzi...
Matumaini wazima wa afya,
Twende moja kwa moja mimi shida yangu ni kutaka kujua au kupewa maujuzi kwamba naweza kuona huko habari chanzo chochote cha habari!?
Lakini wenyewe nao wana links yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.