Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau habari za huko kwenu? Rejea mada tajwa hapo juu, kuna video nataka kudownload ina urefu wa dakika 27 na 300MB ila mimi nataka dakika 3 za mwanzo tu. Lengo langu ni kuokoa Megabytes iwapo...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Wandugu mwene software ya VLC Media anisaidie kama anayo hapa nimejaribu kudownload kwa simu kisha kuicopy kweny PC inakataa. Kama kuna mwenye nayo aiweke hapa tafadhali..
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari waungwana msaada tutani PC yangu aina ya HP yenye windos 8 inaleta ujumbe huo hapo chini kwenye picha.nmejaribu njia kadhaa nmegonga mwamba,njia nilizojaribu: 1. kubadili hard disk yaani...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wale watumiaji wa Android OS, leo nimefanikiwa kuupdate kwenda Android 10 kutoka Android 9 (pie). Nimeona tu kwenye simu yangu notification ya new software updates. Bado sijaanza kuifurahia ila...
3 Reactions
82 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu, Niko hapa kuomba msaada wa ACTIVATION KEY ya MICROSOFT OFFICE 2016 Hadi sasa Activation Keys nilizojaribu zinakataa kufanya kazi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nimeibiwa simu yangu Infinix hot 9 na rafiki wa karibu. Msaada wa toka kwenu nampataje? Nimemfuatilia central majibu ya njoo kesho yamekuwa mengi nina kila kitu include IMEI namba.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wanaJF, Majuzi nilipost kuwa nilikuwa nahitaji mtaalam wa kutengeneza health database. Nilipata msaada na asanteni kwa walioniandikia inbox. Leo, nina hitaji lingine: Health...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari Wakubwa, Nimepata tatizo katika computer yangu "desktop" HP nilikuwa naitumia vizuri vizuri ila ghafla nimekuja kuiwasha inaonyesha taa imewaka ghafla inazima halafu inawaka tena. Mfano...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam wadau, Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii habari ya ujio wa "Android 11" sasa najiuliza hawa Google vipi, Mbona Updates kila baada ya kipindi kifupi? Binafsi hii...
5 Reactions
150 Replies
12K Views
Telegram ni instant messaging application software iliyokuwa encrypted (kwa kutumia MTproto protocol) kumuwezesha mtumiaji kuitumia kuwasiliana na mtu wa pili bila ya 3rd party kuweza kuyaingilia...
14 Reactions
139 Replies
20K Views
Habari wanajamvi, Kuna wadau nimekutana nao hapa Ionic Woocommerce - Themes-Coder Wanafanya kazi nzuri sana. Sasa kuna mteja alitaka kusubmit app yake, na hana ios/playstore credentials. Sasa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu wakuu, Nina friji/friza used kutoka UK, nimelitumia kwa takribani miaka 3 sasa na lilikuwa vizuri zaida ya jipya. Lakini siku chache lilianza kupoteza nguvu ya uwezo wake...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari WanaJamiiForums, Wakuu naomba kujuzwa bei ya Smartphone Tecno F2 mpya Je, dukani inauzwa bei gani?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda huu ndugu zangu, Shida yangu ni moja tu nimesafiri nipo eneo ambalo internet ya halotel ipo chini sana yaan ina ishia 2G au ikigusa 3G mara moja moja sanaa ila mtandao ambao upo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari ya leo, nimekuwa mtumuaji wa TV hasa madishi ya FTA futi sita yale ya zamani yalikuwa hayaathiriwi na mawingu wala mvua. cha ajabu ving'amuzi ya ku-band hivi vidogo vya sasa havihimili hali...
5 Reactions
68 Replies
11K Views
Tecno Spark 4 air yangu inapata moto sana na kuishiwa na chaji hovyo Hii simu inapata moto kila saa utashangaa inakwambia eti battery ipo na high temperature so remove battery na pia uchomoe...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi. Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya Apple inayoproduce simu za iphone inaendelea nyanyasa kampuni zingine kubwa za simu kwenye mauzo kama samsung, oppo, huawei etc. Hapa nitakupa stats za 2018 & 19 uone jinsi iphones...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, nina adobe photoshop CS6. Hii ina size ya MB 73 tu. Inafanya kazi vema tu. Niliidownload kutoka kwa muhindi fulani huko Youtube. Sasa nikitafuta adobe nyingine naona ipo yenye size ya GB 1...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Back
Top Bottom