MAMBO YANAYOCHANGIA AIR CONDITIONER (KIYOYOZI) KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI
Imeandaliwa na Eng:Yusto chaula
Air conditioner au kiyoyozi ni kifaa kinachotumika kutoa nje hewa ya joto na kuingiza...
Nina laptop yangu wakuu imezingua upande wa kushusha window, mwanzo nilikuwa natumia window 10 ikaleta shida kidogo ya kutokubali kuingiza program na setting ikawa haifunguki nikashauriwa nibadili...
Habari za hapa,
Jana nilikuwa Mororogo Mjini nikapita mahali nikaona kijana moja akielezea teknolojia mpya ya kulinda kioo cha simu ya Ceremic Liquid na nyingine ya protector fulan hivi ngumu...
Wakuu kioo cha simu yangu TECNO P5 kimepasuka baada ya kuanguka wiki kama 3 zilizopita, baada ya kupasuka kikaweka crake(kreki)...na kikawa kinafanya kazi kama kawaida lakini kuanzia jana...
Niaje wanJF, kama kichwa cha habar kinavyoelezea. Nimedzan system ya masoko ila challenge inakuwa kwenye kuingiza bei ya mazao Kwa mikoa mingne kwaiyo kama kuna mtu anakuwa interest tunaweza...
Msaada wakuu najua wengi wetu tunatumia fb, kuna kile kipandw cha post ambacho mtu akipost kitu kinaonekana kwa watu wote wanaomhusu na wanaweza ku comment na mengineyo.
Lengo langu ni kufanya...
Msaada kidogo ndugu tv yangu tokea jana haioneshi picha ila inatoa sauti inaweza kua ni tatizo gani? Nimejaribu kugusa gusa nyaya lakini wapi.
Msaada pls
Kama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndio muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi...
Husika na mada tajwa hapo juu. Rafiki yangu kaniulizia bei ya Iphone 6 plus, nkamwambia itakuwa around laki 5 ila ni vigumu kupata OG kwa kuwa ni simu ya zamani, saiv kuna simu nyingi za kisasa...
Habari Wandugu,
Kama title inavosema, Simu yangu Aina ya Infinix Hot 6 haikamati mawasiliano kabisa, yaan no Calls, no SMS no Internet zaidi ni Wifi only. Naomben Msaada iweze kuaccess...
nilihifadhi namba za jamaa na ndugu kwenye option ya save via yahoo!!
sasa simu niliibiwa, nowa nipo kwenye account yangu ya yahoo... nimetafuta option ya kuona namba nilizokuwa nasave kwa yahoo...
Napenda kutengeneza video games, nilijifunza teknolojia mbali mbali ili niweze kutengeneza video games zangu mwenyewe.
Kwanza kabisa nilikuwa tayari nishajua programming languages ambazo...
kama nilivyo tangulia kusema ndugu zangu naombeni msaada juu ya hii computer
jana nilikuwa nina Install OS (ubuntu) 19.10
sasa baada ya installation nikitoa DVD nikawasha pc ina load tuu na...
Nahitaji msaada kidogo Kuhusu kutoa pesa au kutuma pesa kutoka paypal Account kutoka Paypal Account (Yangu) Based on UNITED STATES kuja kwenye Bank Account Ya Tanzania so Far kupitia xoom.com au...
Habari wakuu,
TV yangu ikiwa on nikiigusa kwenye ufito/ Kingo zake na viganja huwa sihisi chochote but nikigeuza mkono au kuweka shavu na hisi kitu Kama shoti hivi. Je, hii hali ni kawaida Kwa TV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.