Wadau naomba msadaa nina laptop lenovo awali nilikuwa ninaweza ku play cd bila shida.
Juzi kati nimejaribu kuweka cd ila imekataa kusoma cd.
Nimejaribu kila namna haionekani hata kwenye my...
Naomba msaada wa kujua generation ya Pc au una fanyaje ili ujue generation ya ngapi? Harafu kingine naomba ellimu kidogo kuhusu ana na icore kwenye pc ina kazi gani maana naonaga tu icore 3 au 5...
uBlock Origin ni moja kati ya vitu vinavyoongezwa ‘Add On/Extension’ kwenye ‘browser’ ili kuzuia matangazo mtu anapoperuzi mtandaoni
Imeripotiwa na jarida la ‘Bleeping Computer’ kuwa kwa sababu...
Wakuu habari naomba ushauri ninafikiria kununua gari. Hili litakuwa ni gari langu la kwanza kumiliki katika pitapita yangu nimelipenda suzuki swift la 2004.Kwa ambao washawahi kumiliki gari hili...
Habari wapendwa natumaini mnaendelea vizuri Naenda straight to the point Nina simu Aina ya Samsung galaxy A10s, cha ajabu nikiingia kwenye account yangu kulogin hasa account yangu ya matokeo ya...
wakuu naomba msaada.
Nilinunua modem ya Mobily nikaambiwa ni universal, funny enough nime install lakini hai connect.
Tatizo nini wakuu hapa?
Nimejaribu line karibia zote
Naomba kusaidiwa kufungua vivo account nimefata step zote ila tatizo lipo kweny code nimenitahid kutafuta code zetu za tanzania ila wap hazipo naomben msaada wataalamu wa kazi
Habari yako,
PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows...
Habari wana JF, Poleni na mihangaiko ya weekend.
Kuna tatizo hapa linanitatiza, nimeshindwa namna ya kulitatua, naombeni msaada wenu.
Katika kipindi cha likizo ya Corona nilipokuwa na mwenzangu...
Habari za leo wanajukwaa letu pendwa!! kama heading inavyoonesha hapo juu kuhusu hayo magari tajwa. katika pita pita zangu za kusaka japo kausafiri ka kunitoa huku Chanika kwetu hadi Mikocheni...
Nina LG Led 49 ( Lj515V-Zd), Na nina Radio aina ya Aborder na speaker zake. Sasa nikiweka Flash kwenye Tv nikaconnect na zile nyaya nyeupe na nyekundu kwenye Radio na Tv, Bado sauti naiskia haiji...
Hapa ningependa kuonyesha jinsi ya kubadilisha lugha ya simu yako ili uweze kutumia apps nyingi kupitia lugha yetu ya Kiswahili.
Nimerekodi video ya njia ya kufuatwa ili lugha ibadilishwe, iwapo...
Zaidi ya miaka 42 iliyopita simu ya kwanza ilipigwa kutumia simu ya mkononi, simu hiyo ya kwanza ya mkononi ilitengenezwa na kampuni ya Motorola.
Ilikuwa mwezi wa 4 tarehe 3 mwaka 1973...
Habari za muda huu ndugu zangu!
Baada ya kuona uhitaji wa watu kutaka kufaham kuhusu mobile software bhas kupitia uzi huu ntaenda kuwafahamisha kuhusu mobile software.
Kwanza kabisa ni lazima uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.