Kuna baadhi ya kumbukumbu zangu zikiwemo picha na video niliweka kwenye file la siri la application ya VAULTS, sasa kwa bahati mbaya nikazifuta pasipo kukusudia, nimefanya jitahada zote...
Grow with Google, Andela and Pluralsight have partnered to provide a new program to support software developers in Africa on Android, Google Cloud and Mobile Web skills development tracks. The aim...
Wakuu Habari,
Naombeni msaada nahitaji kununua gemes za Ps4 kwenye Store yao, ila shida inakuja hamna location ya Tanzania ukiwa unatengeneza account.
Iila nimetengeneza account nikaweka...
Serikali nyingi ikiwemo Tanzania wamekuwa hacked na kuchunguzwa na kundi la hackers tangu mwaka 2012 kupitia vulnerability ambayo waliigundua katika router za MikroticOs.
Vulnerability hiyo...
Dunia inakwenda kwa kasi sana! Teknolojia ya mawasiliano nayo inazidi kubadilika kila kukicha. Miaka kadhaa iliyopita, hakukuwa na simu janja! Smart phones.
Wajanja wote walikuwa wanatumia simu...
hi, brothers and sisters (wakuu). as the heading of the thread above, am looking for any computer-related internship to increase my knowledge and experience, I will cover my own cost including...
Habari wakuu,
Jana nimefanya manunuzi Ebay, bahati mbaya seller akaingia mitini. Nikapewa refund na paypal, lakini mpaka sasa hivi masaa 18 yamepita, siioni kwenye balance yangu ya mpesa...
Wakuu nilikuwa naulizia battery ya hiyo Dell inspiron 17 3737 inapitikana kwa bei gani?
Na wapi naweza kupata.
Niko Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, heshima kwenu wote!
Nina laptop DELL INSPIRON N5040, betri yake imekufa kabisa! haiwezi kutunza power ata dakika 1 bila ku-plug kwenye umeme! Laptop niliinunua mpya mwaka juzi pale SAPNA...
Niaje wanaaaaaaaaaaaaaa
Thefreedom hapa sasa leo embu tujaribu kuendelea pale ambapo tuliiiishia jana .
kama wewe ni mgeni basiii tupo hapa kudiscuss issue nzima ya dll HIJACKING fud backdoorS...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nahitaji software ya kushushia video kwenye Youtube kwenye Macbook, ikiwa zipo zeye funguo tafadhali nishushie na funguo zake
FreeCodeCamp ni mmoja kati ya mtandao unaotoa elimu nyingi kuhusu kuandika ‘codes’ ili kutengeneza ‘projects’ mbalimbali ikiwemo kutengeneza ‘App’ za android, vikokotoo na tovuti
Hivi karibuni...
Jamani nlikua nauliza maeneo gani hapa Dar wanajihusisha na kubadilisha keyboard za PC aina ya HP. Na inakua sh. ngapi?
Kwa yeyote anaejua aniambie na pia kama kuna chochote cha kuzungumza kuhusu...
HabarI zenu jamani, naomba msaada kwanini nikitumia SMS kwa muda mrefu mwisho wa siku natumiwa SMS na Airtel ikisema nimefikia kikomo cha kutuma SMS.
Msaada tafadhali kwa anayejua hili tatizo
Habari za muda huu friends.
Thefreedom is back agian na leo tutadiscuss very briefly kuhusu dll hijacking katika software ambazo ziko vulnerable to gain access.
lengo kuu ni kujikinga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.