Kama nataka WhatsApp yang isijulikane kama inatumika yaani kumjuulisha mtu anaenipigia kama inatumika (byzy) nifanye kitu gani? Au nifanye setting gani kwenye Whatsap ili asijue kama inatumika...
Habarini wanajukwaa, Mimi ni blogger na nahitaji Msaada wenu mablogers wenzang wenye ujuz zaidi na Google search console. Ninapokea ujumbe unaosema URL is on Google, but has issues Kila...
Natumia samsung s.7 edge, ilikuwa imejaa nikaamua kuireboot ianze upya lakini nilikosea nikafuta data activation sasa hivi nikiweka bando minara ya internet haisomi mpaaka nitumie wifi.
Msaada jamani
Hii ni kwa wale wanaotumia fmwhatsaap, yowhatsaap, gbwhatsaap na nyingine kama hizi ila sio kwa wale wanaotumia whatsaap ya kawaida
Fungua whatsaap yako then click kwenye vidot vitatu unavyo...
Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest...
Kufupisha tu ni kwamba nawezaje kuzuia kupata update ya WhatsApp status
NB;Kwa ambaye hajanielewa yaani sihitaji kuview status ya mtu yeyote WhatsApp na nisipate update hata kama mtu akiweka...
Habari wakubwa?
Kuna simu hapa inagoma kupiga picha.
Imeflashiwa lakini bado shida tupu
naomba msaada wenu
Nimeweka picha jinsi inavyo command upande wa picha.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza
Napenda kujua na kufahamu teknolojia ya kuwasha zile taa za barabarani hasa zile zinazotumia solar battery katika barabara zetu nyingi hapa Tanzania...
Hapa nazungumzia fake flash drives Ambazo zimeonekana kuwa na matatizo mbalimbali
Ikiwemo corruption Ya files unazoweka na kadhalika
Wengi wanalalamika Flash zinapunguwa uwezo Zenyewe na...
Tafadhali ndugu zangu,
Kuna ujumbe nilifuta kwa ajili ya kupata nafasi kwenye simu, sasa nina uhitaji tena.
Inawezekana kuupata na kuusoma tena
Ni simu ya teckno pouvoir 3
Naomba mnipe huu ujuzi maana kuna watu wasumbufu sana duniani, wakikuona tu upo active Facebook basi hao wanaanza kuja inbox. Hakuna la maana wakuambialo zaidi ya kupigana virungu tu. So nipeni...
Wakuu khabari zenu, naomba kujua namna ya kujifunza graphics design ni njia gani nitumie ili niweze kujua?
Napenda kujifunza vitu vipya ivyo naomba muongozo wa namna ya kufahamu na kuelewa...
Naanza mm kuhusu iphone
Yaan iphone bhana simu ni yako lakini ukisahau passcode tu kwisha
Pia haina mfumo mzuri wa music yaan eti hadi ununue duuh
Pia haimpi mtumiaji upana wa kuchagua cha kufanya...
Wakuu natumia simu aina ya Huawei Y9 Prime
Nimejaribu kuhamisha files Kutoka kwenye PC kwenda kwenye simu Lakini imeshindikana.
Sasa sijajua tatizo litakuwa ni kwenye simu au USB cable, maana...
Edy Wan asked how to safely remove a flash drive, or an external hard drive, when Windows says it isn't safe to do so.
If you unplug a USB external drive before making sure it's safe to do so...
Pay television service providers will no longer lock out competitors from using their set-top boxes to broadcast content to consumers.
In a judgment that throws the subscription-based TV...
Naomba msaada laptop yangu ilikuwa inakaa na chaji fresh sasa juzi usiku nilikuwa naitumia nikaizima kuja iwasha asubuhi naweka charge kweny upande wa betri inachora x the inaandika charge...
Habari zenu wakuu, nina flash aina ya Imation 8gb ambayo mara ya mwisho kudetect ilikua wakati nakopi vitu toka kwenye pc. Ila saizi kila nikiiconnect haioneshi response yoyote ile, nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.