Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wajuvi, Nimekua mtumiaji wa muda mrefu wa hivyo vifaa nilivyovitaja katika kichwa chwa habari hapo juu lakini nimekua nikinunua kwa kubahatisha tu kwa kweli sifahamu kabisa jinsi ya...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu sina activation key ila nahitaji kufanya activation bila ya kuwa na key, maana nimejaribu kwa kutumia Microsoft tool kit imegonga mwamba, nimejaribu kwa kutumia CMD imegoma mwamba CMD...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natumaini ni wazima naomba msaada wa app nzuri kwa ajili yakupokea na kutuma sms private ambayo hata aingia kwenye sms hawezi kuona sms za namba hiyo
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Draft la kibongo ambalo kingi anaruka (flying king), kula lazima na ni mbele tu. Siyo la kula mbele na nyuma. Natanguliza shukrani.
4 Reactions
124 Replies
29K Views
Bei ya Kioo cha simu tajwa hapo juu imesimama vipi wakuu?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu Nawezaje kuhamisha file Kutoka kwenye pc kwenda kwenye simu. Kila Nikijaribu inaniletea ujumbe huo hapo kwenye picha
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nimekua nikiwaza sana nani hasa anaemiliki mtandao wa INTANETI make mitandao ya simu sijuwi wananunua kwa nani access za hizi INTANETI
1 Reactions
4 Replies
3K Views
NOTE: Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC. sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Habarini wakuu, heri ya sikukuu ya IDD natumai sikukuu ileenda poa Turudi kweny mada katika pita pita zangu mwezi wa tatu nilikua tunduma Nikakuta wanauza Samsung LED TV inch 32 kwa Bei cheap...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Maana nimemuona mtu ana followers 4000 lakin ana blue tick
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Nime google wanataka nilipie $89, pia wanasema inatumika katika Website moja tu JE?? wakuu naomba njia nyingine ya kui PAKUA hii premium??
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hellow Ni site gani nawezapata cracked application for free? Kama Adobe photoshop na nyingine
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau kwanini Google Adsense sasa hivi imekuwa sana shida kuipata? Vigezo hadi kero! Bloggers mliowin embu tupeni maufundi maana kampuni zingine hizi mizinguo sana, sijui ni kwangu tu. Sent...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu wa mambo ya technology Hebu naomba mnisaidie kutofautisha kati ya simu ambazo ni refurbished na zile ambazo sio refurbished? ===== The term ‘refurbished phone’ generally refers to a...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Hello guys, habari za Jumapili! nitaomba kujuzwa kwa hapa Tanzania kampuni gani ya App designing n development wenye uwezo mzuri wa ku integrate Artificial intelligence kwenye application? Nimekua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kulingana na rafiki yangu anayefanya kazi kwenye kampuni moja ya simu ulaya, simu zenye kuishia na namba zaidi ya 50 kwenye imei ni hatari kwa kuwa zinavuta nguvu nyingi zenye madhara kwa afya. So...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Bei ya Kioo cha simu tajwa hapo juu imesimama vipi wakuu? Sent from my STK-L21 using Tapatalk
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Game moja ya burudani nzuri kwenye simu na computer ila yale magemu yenye viwango vya juu malanyingi nikiona list ya games Bora ya Android naona wanataja badland nk ila sijawai ona mtu anataka ili...
2 Reactions
62 Replies
13K Views
Habari wanajamvi, naombeni kujua games nzuri online au offline za android. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
75 Replies
9K Views
Kwa wapenzi wa modded games za kwenye Android mobile phones Kuna chimbo flani hivi ni app ya kuitwa. (Happymod) humo utapata games kibao zilizo hackiwa bure kabisa.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom