Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu, naomba kufahamishwa kuhusu matumizi ya hiki kitu kinacho itwa data usage kwenye simu za android jinsi ya kuiset na mambo mengine kama hayo.
Ahsante?
Zoom ni kati ya mitandao inayotumika sana kufanya mikutano kwa njia ya video, na imepata umaarufu mkubwa baada ya janga la #COVID19 ambalo limefanya watu waitumie zaidi ili kuepuka mikutano ya ana...
Kuna PC yang HP Elitebook ile ya Fingerprint ina muda sijaitumia. Sasa juzi naiwasha inawaka vizuri kabisa tatizo ni keypads mpaka ulong press ndo inakubali yani ukibonya keypad inapiga kimlio...
Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, inatarajia kuzindua simu yake mpya aina ya TECNO SPARK 5 yenye kamera 5 Ijumaa hii kwa njia ya mtandao, ikiwa ni mara ya pili kuzindua kwa njia hiyo ya mtandao...
Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection...
Habari zenu, msaada tafadhari, naombeni kujua ni software gani (trusted) naweza kuitumia kuongeza ukubwa wa local disk C kwenye PC?
ahsanteni kwa ushirikiano
Hili tatizo linaniumiza sana kichwa
Navyowasha PC ile system ya hp ambayo inaload kabla ya windows kuload IPO taratibu sana, nliupdate BIOS ila wapi na hio bios ile update kwa masaa mawili...
Habari wakuu, poleni na majukumu.
Kama kichwa cha post hii kinavyosema, naomba wataalamu munifahamishe Android application ninayoweza kutumia kuedit video clips au kutengeneza video kupitia picha...
Wakuu habari ya uzima na poleni na majukumu yenu ya kila siku,
Wakuu nataka kuanza kutumia whatsapp version kwenye laptop yangu badala ya simu, Je kuna mwanajukwaa ambaye alishawahi kutumia apps...
Habari zenu jamani,nina king'amuzi cha Azam,Upande wa picha kuna muda inaonyesha na kuna muda picha inakata,na picha picha inapokata kuonyesha inaleta maneno haya,Smartcard is not Correctly,je...
Simu tajwa hapo juu ina miezi mitatu tu imeingia maji, warranty haifanyi kazi kww case za mishandling gharama za matengenezo naona ni bora ninunuwe simu nyingine, sasa nimeona ni heri nipate nusu...
1. Choose "E911" in the "location" menu on your phone. On some phones you may need to enable privacy mode instead. These settings will allow GPS tracking only in response to a 911 call, which is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.