Leo katika pitapita zangu kwenye WhatsApp status nikakutana na video moja ikionyesha jinsi simu aina ya iPhone 11 Pro kutoka Apple, wenyewe wanaiita macho matatu ikiwaka kwenye OS ya Android. Sasa...
Hello wadau,
Mimi ni kijana umri miaka 40.natamani nijifunze kutengeneza simu hapo baadae nifungue ofisi yangu inshaalah!
Naomba mwenye kunipatia ruhusa kujua hilo kiundani idea ya sayansi...
Wakuu kati ya inverter ya power transistor na inverter ya mosfet ipi bora na ipi ambayo haili sana moto?
Maana nataka niunde mojawapo nikipata ufumbuzi kutoka kwenu wakuu.
Sent using Jamii...
Habari za Asubuhi Wakuu. Naomba niende kwenye Mada haraka haraka, ni kwamba nina printa ndogo ya ofisini aina ya Canon Selphy CP 1000 naitumia kwaajili ya kuprinti Passport Size, inatatizo la...
nilikua naangalia movie moja inaitwa knight rider ya mwaka 2008 mmoja wapo wa mastering ilikua ni gari linalojiendesha lenyewe nilitamani one day niweze kuona technology kama hio hatimaye imefika...
A SIM Card is a Metal, covers with piece of plastic, we use to insert in mobile phone is know as Subscriber's Identity Module SIM was identified by two numbers that is Integrated circuit card...
Kama ulishawahi kutaka kujifunza programming but hela ikawa ni kikwazo dont give up.
Bado kuna njia nyingi za kuweza kutimiza ndoto zako.
Fight upate laptop, modem and full internet conections...
Wakuu habariniii.
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa members wote wa jamii forum ,tangu nijiunge humu hakikaa sijajutia nmefahamu vingii sanaaa ..🙏🙏🙏
Mada inajieleze hapo juu ,,nawezaje kupata...
Kama kichwa kinavyoo jieleza hapo juu wengi wetu hutoka kapa na kujikuta tunaishia kubambikwa tu, ukishatumiwa bidhaa unakuta kinyume na mategemeo yako.
Mfano: Resolution 1080p, battery...
Hey Guys. Leo Nimewaletea Njia Watu Wengi Wasioijua Ya Jinsi Ya Kuseti Instagram Account Yako kulike posts za watu uliowafollow Automatically hivyo kukupunguzia mzigo wa kulike na Kukufanya uwe...
Habari zenu wadau..
Nahitaji mwenye Microsoft office bits ×64 anitumie link niweze kupakua.. Ila iwe ya free msaada wenu ni muhimu sana.
KARIBUNI SANA
Sent using Oppo A3s
Natafuta duka au mtu anayeuza vifaa vya HTC kwa kuwa specific natafuta power volume sensor flex cable sd memory card slot holder for htc one me m9ew km picha ifuatavyo inavyoonyesha anayeuza au...
Hello, Cybergates Hapa
watu wengi hasa wanaojifunza python programming wenyewe au online wanajua kuitumia kwenye console au compiler basi wengi wajatengeneza real project ata moja alafu...
Rwanda now Using High Tech Robots in the Fight against COVID-19
Robots are now part of Rwanda’s fight against COVID-19 and will help minimize risk of infections among health care workers...
Wakuu PC yang window 7 inatumia. Haifungui program baadhi ikiwemo virtual DJ na zingne nimeistall vizuri ila wakati wa kuopen inaandika hivi.
"Dorectx failed to initialize please install the...
Msaada jinsi ya ku download WhatsApp kwenye Nokia Lumia 610.
Pia namna ya ku connect internet maana inaunga internet kama itaunganishwa na WiFi ya simu nyingine.
Msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.