Nimetoka kununua kispika ila nashindwa kutoa sauti mashine mzima kabisa kama inaonekana hana upande wa flash inasoma ila sauti ndo shida spika yake ya zamani ilitolewa mwenye kujua tafadhali...
Salaaam, poleni na swaumu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.. Naomba kufahamishwa namna yakuipata simu ya IPHONE iliyoibiwa, mbinu zitumikazo kujua simu ilipo hadi kuipata.
Natanguliza shukran
Google wamiliki wa android wana simu ambazo ni nadra kuzikuta huku kwetu zinaitwa pixel.
Pixel zinadizainiwa na kufanyiwa promotion na google wenyewe lakini wanaozalisha simu za pixel ni HTC...
Hivi ni kwa nini watumiaji wa tecno simu zenu huwa hazina update ya android version?
Yaani kama ulinunua simu labda ina android 7, ili upate android 8, itakulazimu wewe kununua toleo jingine...
Habarini za wakati huu ndugu wana bodi, natumaini mko vyema.
Nina tatizo kidogo kwenye kuweka Antivirus (Kaspersky antivirus) kwenye desktop yenye window 8.1 pro..
Nimekuwa nikijaribu mara...
Nina TV yangu outing smart sasa nunganisha hotspot internet inaonyesha kuconnect lakini hai browse.
Yaani haifungui browser inasema nahitaji internet kwakweli nimeahindwa kung'amua naombeni...
Kama heading inavojieleza
Nimejaribu kuutafuta humu bila mafanikio kwa yeyote atakaeweza kunisaidia link ya microsoft word ntamshukuru sana, nilipakua google word ya 2013 nashindwa kuitumia...
Habari zenu ndugu mko poa?Naomba kuulizia kama kuna mtu anaweza nisaidia wapi nitapata kioo cha macbook pro retina inchi 13???
Naomba msaada tafadhari kwa hili
Wakuu leo mchana nimeitumia fresh tu.. Nikaizima ila wakati nachomoa waya wa power ukagusa ile port ya vga kukatokea kama kishot kwa nje..
Sasa hivi nawasha haiwaki..
CHIEF MKWAWA na wengineo...
Habari za Musa huu wadau,
Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata...
Jinsi ya ku �root� simu yako ya Android.
Utangulizi:
Simu zetu za Android zimekua sehemu ya Maisha
yetu ya kila siku. Tunazitumia katika
Mawasiliano, Kuhifadhi kumbukumbu za muhimu,
burudani...
Wasalam wakuu,
Natumani mu wazima wa afya, hili tatizo linanitesa tokea jana kila nikiwasha computer inakomea hapo, nimeajribu kuwek CD ya window kusudi nishushe lakini bado mwisho wa siku...
Wakuu kwema, ebhana nahitaji kumfatilia mtu mpaka nimfikie alipo kwa kutumia simu au kifaa chochote ila uyu mtu hatumii simu ya smartphone anatumia simu ya kawaida ivyo naomba kwa yeyote mwenye...
Naomba kujua ninavyoweza kufuta account yangu moja twitter au ninavyoweza kublock account mojawapo maana ninazo mbali ila yapili sitaki kuitumia niliifungua nikiwa nje ya nchi sikutaka kutumia...
Wakuu poleni na hongera zenu kwa ujenzi wa taifa.
Mimi shida yangu ni [emoji116][emoji116][emoji116]
Nipo nje ya nchi sasa yapata mwaka na nusu. nilikuwa natumia whatsapp vizuri tu bila shida...
Wadau habari,
Nataka kununua simu duka la tigo, sasa naomba ushauri kati ya tecno spark3 pro na samsung A10s maana zote naona sifa zinafanana.
Nichukue ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.