Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jaman naomba kupata Microsoft Office yoyote kat ya 2007,2010 or 2013
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
800 Views
Wakuu Habarini Poleni na Majukumu, Ebana Nina tatizo hapa nahitaji msaada kwa yoyote mwenye Uelewa Zaidi juu ya Hili Jambo.. Juzi kati hapa mwezi wa Pili Nilinunua HDD mbili Zote TB 2 Kampuni ni...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwanini nikidownload Firmware nikija kwenye sp tools nikitaka kuaadi file halionekani ila nikirudi kwenye download file naliona
0 Reactions
4 Replies
776 Views
Wanajamvini. Mwenye kujua jinsi ya ku retrieve sms ambazo umefuta either WhatsApp au za kawaida kwa kupitia Google account (Gmail) naomba anielekeze. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kila ninapojaribu kuichaji simu yangu inaniandikia maneno hayo kwenye picha, hajaingia maji, nimejaribu kubadili chaja bado tatizo lipo palepale. Msaada wajuvi wa simu. Sent...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari wakuu. Sekta ya Web Design imetekwa na utitiri wa themes na templates zinazotumika kwenye cms na frameworks mbalimbali. Katika pita pita yangu nilichobaini asilimia kubwa ya hizi themes...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu? Poleni kwa mishemishe za kila siku za maisha na Mapambano dhidi ya COVID-19 kama kichwa cha thread kinavosema, ningeomba kwa wale wapenz wa Mockups tutumie uzi huu kushare...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wataalam. Nina desktop yangu. Nataka KUDOWNLOAD game ya EURO TRUCK SIMULATIOR. Tafadhali mnisaidie link ambayo nikidownload nipate hiyo game free from charge. Specifications za computer...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari za jioni waheshimiwa wote humu ndani, nilikuwa nikiwaza ukienda youtube utaonda watu wameunda channel zao mbalimbali za games ambazo is very interesting pia wana community wanao submit clip...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta partform kwa kufanya investment yaan mfano kenya kuna hii reveal globally ambayo unaivest na unalipwa 10% tatizo ya hii reveal globally hii fanyi kazi njee ya kenya sasa mimi natafuta...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Kwa mtu mwenye matumizi makubwa ya data - tuseme 100GB kwa mwezi - Ni huduma gani ya internet nzuri? sio lazima iwe mtandao wa simu, matumizi ni kwenye PC. Ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Steve jobs aliyekuwa CEO wa apple inc alikuwa na msimamo mkali kwa android ambao ungeipeleka OS hiyo ya google kusuasua. Kama ulikuwa ufahamu kuhusu vita hii basi ilikuwa hivi. Steve Jobs...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Tukiachana na layer na sifa zake kwa kuongezeka joto kadri mtu unavyo zidi teremka chini ya ardhi Layer zenyewe zikiwa zinajulikana kama, -mantle(2) -crust(1) -core(3) Je unaisi itakuaje mtu...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo .. Laptop yangu MINI dell inpiron haifanyi kazi pale pa kupapasa pamoja na right na left click zote . Mpaka utumie mouse ya nje .. Nimejaribu ku update driver ila...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu; Naomba msaada wa namna ya kusolve suala hilo hapo juu. Kila ninapotaka ku issue command kwenye CMD promt maneno hayo yanajitokeza. Nimejaribu kubadili user variables kwenye environmental...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari poleni na majukumu Naenda straight to the point, hivi Kwa watumiaji wa android hivi ili niweze kujua I'd ya mtandao wa simu Kwa mtu ninaye mpigia mfano, Vodacom, Tigo, nk sababu zamani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada hapo juu kama mada inavyosema Natumia audiomark app kupakua mp3 lakini naona baadhi za nyimbo hazipo kabisa . Mwenye kujua app nzuri naomba anisaidie kwa simu za iPhones. Tuendelee...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Wakuu naomba msaada, Niliupdate simu yangu aina ya samsung Galaxy J6 kutoka android 9 kwenda 10 baada ya hapo touch ikagoma mpaka sasa nimejaribu kufanya soft na hard reset zote zimegoma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom