Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi...
Natumia Dell Insparion tatzo lake ni kuonyesha
255% AVAILABLE (PLUGGED IN)
Kwenye Icon ya Betri kwa lugha Nyepesi Kwenye alama Ya Betri badala ya Kuonyesha inachaji na Asilimia Zake ndo inaonyesha...
Naomba kusaidiwa tatzo n nn kwnye pc yangu maama nikiiwasha inaniletea haya maneno[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Its not over until its over...[emoji769]
Wadau naomba kufahamu,kwenye setting za simu kuna hii kitu restrict app background data,je! ninatakiwa niweke on au off, naomba mwenye kufahamu aniweke sawa kwenye hili,asanteni.
jamani nahitaji kujua jinsi ya ku install whatsapp kwenye pc inayotumia wondow 7 professional...nilijaribu ku install bluestack ili nitumie kudownload but bluestack imekataa ku install... nifanyaje
Sababu wengi hawaijui telegram basi watabisha!Ila App ya telegram ni kiboko sababu hata kama huna members wa kuchat kwenye contacts zako,telegram ina channels na group ambazo unajiunga bila...
Habari wadau pc yangu nimeiwasha imeleta blue error kwenye screen, naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kurecover tatizo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepeleka LG Tv yangu kwenye karakana ya duka la vifaa vya LG iliyopo mtaa wa Nkurumah Dar es Salaam, ili ipokelewe nimelipa Sh. 30,000/=. Baada ya muda wakanipigia simu gharama za matengenezo...
Nina channel ya videos lyrics youtube nimeomba maombi ya kua monitizer kisha nianze kulipwa baada ya muda jibu likarudi wakiniambia reuse content ikiwa amna hata video mona ikiwa na copyright...
Habari wajuvi ,katika hii app mpya ya Zoom cloud meetings je unaeza kuextend izo 40 mins wanazokupa kama trial tofaut ka kufanya malipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habari hapo juu👆 lengo langu ni kupewa msaada jinsi gani! Ntaweza kuweka picha na kwenye wasifu wangu! Na pia jinsi ya kuweka video JF na picha za habari tofauti tofauti...
Wadau Kuna mbinu itasaidia katika kuweza kufungua na kucheza games ambazo zinaonekana kutofunguka...aidha iwe APK au zile za play store
Hatia za kufuata>APK
1.download APK au xapk yote
2.baada ya...
Kwa wale wenye uelewa na simu au iPad za kampuni ya apple naomba Msaada.
Niko naweka iOS mpya kwenye iPad ya apple kwa kutumia program ya 3u tools ila nimekwama kwenda kwenye UFD Mode naomba...
Habari wana jf,
Nimedownload music videos katika laptop yangu shida inakuja pale ninapoweka katika flash ili niangalie kupitia dvd napata message not supported. Nashindwa kuelewa tatizo nini...
Habari zenu wana jf,
Nilikuwa naomba nipate msaada kuhusu computer hardware mimi sina uzoefu sana na I.C.T ila niko inspired nayo shada ni C.P.U yangu ni aina ya DELL dimension 4100 kiukweli ni...
Ni simple sana kama unatumia wi-fi adapter au computer tayari ina wifi. Basi ni rahisi sana unaweza display ya smartphone kuihamishia kwenye pc au ya pc kuihamishia kwenye simu na vile vile...
Wakuu natumai mu salama ! ! Nina gari aina ya mini pajero 3 door ni auto gearbox ina tatizo kuchelewa katika mwendo kwa kulingana na mzunguko/mlio wa engine, yaani gari...
Waungwana msaada tafadhali.
Kuna laptop dell latitude/ D830 zile za kizamani imegoma kuwaka,
Mwanzo wa tatizo
Madogo walikua wanangalia movie,ikazima kutokana na charge kuisha maana umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.