Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wazee, kama inavoonekana hapo kwa tittle. Nilikua na ndoto yakuwa blogger na nashkuru kwa uwezo m/mungu nilifanikiwa na nikawa monetized na kampuni ya Adsense. Ila nimepitia challenge kubwa sana...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Nawasalimu nguli wa jukwaa hili. Tatizo langu. Nina account ya mail yahoo. Password ninazo jina la account ninalo. Nimeshindwa kusign in.. wananiuliza simu sijui ilipo...namba ya simu sijui hata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Haya sasa wale wakongwe wa TunnelGuru na wale wanaotaka kujiunga na Internet bila kikomo nawaleteeni hii kitu kipya ambacho nime target zile backsides zote za TunnelGuru na kuziondoa kuhakikisha...
4 Reactions
105 Replies
27K Views
PRICE: 15,000 for both Whatsapp/Call/SMS: 0743232148
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Kumekuwa na habari kuwa namba ya wagonjwa wa Corona walioambukizwa, wanaoumwa, waliopona na waliofariki inakuwa understated na serikali. Naamini si mpango wa serikali kutoa data ambazo si za kweli...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu wa jukwaa hili. Ni matumaini yangu mnaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya covid 19. Lengo la kuja hapa ni kuomba kueleweshwa. Ninaanza kwa kutoa mfano; nina mashamba kumi...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Halo wana JF kwa wale wapenda Mziki kama Mm. Nina mpango wa Kununua Soundbar, ila nina tatizo la kujua ni ipi yenye kiwango kizuri cha Sound especially wakati wa kusikiliza Muziki na Movie...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Nimecreate account ya Google kwenye simu yangu lakini kila nipotaka kuinstall fail kutoka Google naambiwa kuwa account yangu haija access so sijui nifanyeje
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau, Nilikuwa natumia Tecno W4 kwa mUda mrefu kidogo, lakini ghafla ilianza kupunguza muda wa kukaa na chaji na mwisho kabisa ikawa haichaji. Inawasha kitaa chekundu kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi karibuni Apple watatoa Update ya IoS 13.5 ambayo itaruhusu kufungua simu kwa FaceID hata kwa mtu aliyevaa barakoa. Hii ni kutokana na janga hili la corona ambapo maelekezo Mengi ya kitabibu...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Heshima kwenu wakuu. Nimeona features mpya za YoWhatsapp nikasema nije kuuliza kwa wadau kuwa hizi zinakuwa by default au mpaka u-set sehemu...? Na pia, kama hiyo feature ya kwanza inayosema...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwishoni mwa mwezi March Kampuni ya Huawei imeendelea kutoa matoleo yao mapya ya simu kwa upande wa P series. Na kwa sasa wamekuja na P40 series ambapo wametoa Huawei P40 lite, P40 lite E, P40...
2 Reactions
73 Replies
10K Views
Husika na mada tajwa hapo juu,ninaomba kujuzwa namna ya ku extract ISO game (japo hii naiweza lakini ni kwa faida ya wengine) na kinachofuata baada ya hapo maana inaniletea ugumu nakuwa siwezi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi hizi program huwa zinafanya kazi kweli kama ya kufuta na Ku boost memory au huwa ni danganya toto. Mi huwa sielewi eti ukigusa unashangaa roketi linapaa
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukweli ni kwamba Tecno japo ni simu ya wengi, ni simu ambayo bado haijaingia kwenye international standards kiasi ukitaka kufanya mabadiliko ya hapa na pale inakuwa ngumu kutiririka kama ilivyo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Simu yangu tecno camon cx. Betri yake non-removable 3200 mAh. Nataka niweke 5000mAh, wapi nitapata hii service?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Niliweka external katika PC yenye virus, mafaili yakaliwa, baadae nilioscan na kaspersky yakarudi baadhi tu tena yamekaa katika file moja limeandikwa Trashes, kisha kukawa na file.lingine...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo ningependa niandike kuhusu battery health kuanzia 100% to 86% siku hizi imeibuka tabia ya watumiaji wa iphone ukimuzia simu cha kwanza ana kimbilia kutazama battery health kwa lugha isiyo...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
habari wakuu, Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya intergration ya payment gateways za hawa pesapal katika hii project iliyokua developed kwa laravel nawasilisha kwa mwenye kujua msaada...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Hello wana Tech wote out there!! Below is a 2D animation i've been working with for sometime! Lakini I RAN INTO MAJOR PROBLEM, software ilicrush violently nlipokua na save project!! The whole...
1 Reactions
314 Replies
37K Views
Back
Top Bottom