Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada wa (Computer Networking) Kuna Computer Desktop 4, kuna network Switch, UTP cables na USB broadband modem dongle. Nahitaji kuziunganisha hizi PC zote ili zipate internet kwa kutumia...
1 Reactions
64 Replies
7K Views
Mimi sio mtaalam sana wa mambo ya simu na computer. Jana katika kupita pita mitandaoni nikaona mjadala wa google apps ambazo unaweza kuziweka kwenye samsung na zikafanya vizuri zaidi. Kweli...
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu, naweza nunua account ya Netflix kwa bei reasonable maana naona vodacom master card wanasumbua sana kufanya malipo ya ku subscribe Netflix
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Brackberry moja ya kampuni iliyouza smartphones kwa sehemu kubwa ya dunia. Unaikumbuka app ya BBM ilivyokuwa inaelekea kuipeteza facebook. Ilifika hatua brackbeery ilikuwa na marketshare ya zaidi...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini wataalam, Ningependa kufahamu techology gani nzuri sana kwa kutengeneza simple web system kama:- System ya Saccoss System ya Phamarcy Nk Ipo nzuri kati ya hizi kutumia :- Laravel Nodejs...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba wanajamvi mnisaidie namna ya kupata software ya autocad. Asante.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba msaada jinsi gan naweza kuepukana na hii ban sijawahi tumia aina nyingine ya WhatsApp kama Gb WhatsApp kweny Sim yangu anae jua njia za kufuata anipe muongozo
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba msaada wanajamii Laptop yangu aina ya DELL imekata sauti ghafla mara tu baada ya kuchomeka waya ya two in one ili kuunga kwenda kwenye Subwoofer. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wataalam wa umeme nina adapta yangu inatoa umeme v12 sasa nataka niitumie kama chaja ya laptop ambayo inapokea votts 19. Hamna namna naweza kuifanyia makeke ikatoa v 19. Maana vingine vyote kama...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hi guys simu yangu imepata shida ,nikipigiwa wanadai inaita Mara moja na kusema namba iko busy. Na hii ni kwa line zote kila mtu anaepiga anasema hivyo.Ila Mimi nikipiga hakuna shida yeyote...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau ivi halotel wamezindua huduma ya 4g
1 Reactions
209 Replies
38K Views
Jamani wadau naomba app itakayoniwezesha ku upgrade wps office kuwa premium. Hapo mwanzo nilitumia lucky patcher ikakubali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu bandugu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Leo nipo chini ya miguu yenu. Nahitaji msaada kutoka kwenu. Najua hapa kuna watu wenye roho nzuri na siyo wachoyo wa maarifa. Hivi...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu habari, tafadhali naombeni msaada kwa muda sasa kila ninapojaribu kusign in kwenye Instagram account yangu inaniambia 'An unkown network error has occured'. Msaada nimejaribu ku uninstall...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari nahitaji pata mawasiliano yangu ya nyuma kutoka mtandao wa tigo, kwa namba fulani tu, utaratibu ukoje na gharama yake. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, bila shaka Jumatatu inaenda vyema. Kumekuwa na taarifa kuwa mtandao maarufu wa Instagram unatarajia kuanza mchakato wa majaribio ya kuficha 'likes' kwenye post. CEO wa...
1 Reactions
2 Replies
937 Views
Habari... Naomba kuuliza, hivi naweza kudownload Antivirus ya computer (for free) na ikafanya kazi effectively...?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habar za humu natumaini mu wazima kiasi japo tupo kwenye kipindi kigumu naomba kufahamu au kujulishwa game nzuri za kucheza kwenye simu ambazo ziko offline natumain nimeeleweka waajuzi mtanijuza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari humu wakuu, Nina flash yangu imeandikwa HP inasoma kwenye computer tu ,ila ukiweka kwenye deck au tv haisomi, mwenye ujuzi wa kuiwezesha isome kwenyevtv/deck anisaidie. Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu, Naombeni msaada wa haraka, Jana nilimtuma mtoto akaweke umeme kwenye mita ya luku sasa wakati wa kuingiza nadhani alikosea mara nyingi lakini umeme ulikubali kuingia. Sasa shida ni...
0 Reactions
30 Replies
26K Views
Back
Top Bottom