Wakuu nawasalimu na natumaini wote ni wazima.
Mimi si web developer lakini Nina uzoefu kidogo wa kutengeneza websites kwa kutumia themes za WordPress. Nahitaji kutengeneza website inayofanana na...
Wakuu naomba msaada wa unlocking codes za iz nokia nilinunua kwa ajili ya mawasiliano zaid nkaweka laini zangu baada ya muda nkahamisha kuweka kwenye simu kubwa kuanzia hapo nkiweka simcard tofaut...
Habari!
Naomba mwenye uwezo wa kunisaidia link za Live TV cha channel za hapa Tanzania hasa:
- TBC
- ITV
- Wasafi
- Clouds
- Star TV na channel za kiswahili zilizomo kwenye king'amuzi za Azam.
Wakuu Poleni na mfungo wa maombi ya kitaifa. Leo siku ya pili,na mimi sijawaangusha mana naomba haswaa. Tanzania bila corona inawezekana.
Nije kwenye mada: Nimebangaiza vijisenti kwa muda nikaona...
Uchaguzi wa laptop nzuri ni miungoni swala moja wapo muhimu sana hususani kwa graphics designers pamoja na sounds producers bila kuwasahau watu wa maswala ya IT.
Sasa kama graphics designer...
Nahitaji kuunganisha MB za simu moja zitumike kwa simu mbili tofauti. Mwenye huelewa anijuze.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
===
Washa Hotspot kwenye simu yenye bundle la internet...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavojieleza, naomba mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuconnect bluetooth via STAR X smart tv.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wataalamu,
Jana kuna settings nilikuwa nafanya kwenye BIOS, nadhani hapo ndipo tatizo lilipotokea, maana niliporudi huku kwenye desktop, WI-FI ikapotea kabisa. Naombeni msaada au maelezo...
Natafuta fundi wa Invetor Pure sine wave, Ina Tatizo dogo la Umeme Hautulii na display yake ina blink wakati relay nayo inakuwa ina funga na kufungua hivyo kunakuwa na On and Off in multiple...
Wakuu kama tangazo linavyosema nahitaji simu hiyo hapo juu. Hii simu yangu haina tatizo lolote ni yangu nina kila kitu chake hadi stakabadhi niliponunulia utapata. kwanini A9 pro 2016 hii simu...
hizi ni moja ya torrent hata uki google kizipata kwake sio kirahisi
na hata ukizipata zingine zipo locked huwezi ingia mpka invitation upate
mfano 1.
na ukienda hapo register itakupa ivi
2.
leo...
Nikiwa kama muhasibu excel 2007 nimeizoea na wala sijaona ikinikwamisha kwa lolote, Ina size ndogo na haijazi pc na inanifaa, Kuna wenzangu hapa ofisini mbwembwe ibao na excelo hizi za mwaka 2018...
Kama tujuavyo kuna windows mbalimbali kwa matumizi tofautitofauti, sasa nataka kujua ni window gani nzuri zaidi maana PC yangu ina window 8.1 lakini kuna baadhi ya software hazifanyi kazi mfano...
Natumaini hamjambo na mnaendelea vizuri na mapambano ya Corona tumwombe mola atatusaidia.
Niende kwenye mada ni wiki mbili zimepita tangu niibiwe simu yangu na vibaka sikutaka kuifuatilia kwa...
jaman mimi nina itaj msaada,nmemalza 4m4 mwaka jana na nina bios-C,chem-C,math-D,english-B.naitaj kusoma clinical officer.je application zna anza lini,ada ni shingap kwa government,na naomba kujua...
Habari wakuu?
Msaada wenu nimepewa Mac ambayo haijatumika muda mrefu kidg ukiwasha kinakuja kialama cha question mark.
Sasa katika kuchokonoa na kiufahamu changu kidogo nimefika eneo la...
Wakuu msaada, simu yangu Tecno Camon 12 iliingiliwa na maji ya mvua pindi ikiwa mfukoni. Niliitoa nakuendelea kuitumia (hapa sikujua kama maji yameeingia). Baada ya muda screen ilianzaa kuonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.