Would you know specifications of such a laptop napata for how much?
HP celeron 1.6ghz,4gbram,500harddisk, 15.6 screen, webcam, wifi, bluetooth
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau kila mwenye huitaji wa course ya Security, Networks ili tuwe tunasaidiana, au unakuwa free course au coupon za course za tech udemy, eduonix basi apost
mi naanza, mwenye hiki kitabu anisaidie
Habari zenu wana jamvi wa jf, namshukuru Mungu aliyetujaalia pumzi. Matumaini yangu mapambano (dhidi ya Covid-19) yanaendelea. Tukiachana na hayo katika kutaka kuingia kwenye mambo ya technology...
Habari wadau nadhani mnaendelea vizuri pamoja na kukumbwa na hili janga la dunia la COVID-19, Kuna swala linaniumiza kichwa la taarifa za miamala ya line yangu ya simu kujulikana kwa mtu mwingine...
Kwa wale wapenzi wa Nokia , baada ya kutoa Nokia 6, 5 na 3, Nokia ametoa flagship yake tayari. Naona ametembea mulemule kwa kama wadau walivyotarajia. Camera ametumia Zeiss optics, Processor...
Wakuu, inawezekana kubadilisha IMEI ya simu? Nina simu ya Samsung Note 2 ila imei ya kichina kwa hiyo inasumbua katika kutumia.
Je, naweza nikapata msaada?
===
MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU...
Nimekuwa mtumiaji wa Samsung A-series tangu za 2015,
hizi ni mid-range Samsung smartphone, na wamekuwa wakizibadilisha muonekano mwaka kwa mwaka (binafsi toleo la A-series la 2016 ndio bora...
Jamani kwanza habarini wote,
Ningependa kufahamishwa jinsi ya kuweka link ya vitu mbalimbali kwani tatizo hili limesababisha baadhi yetu kuweka habari ambazo hazijakamilika humu.
Asanteni...
Mambo vipi wakuu?
Natumia simu ya Nokia 6.1 Android, nimenunua mwaka jana mwezi July. Kwanza Imeanza tatizo kwenye speaker, nikicheza video au audio kwa sauti kubwa inakwama kwama mpaka nipunguze...
Nina simu yangu HTC one ni simu ninayoipenda sana sana sana, lakini imepatwa na tatizo..mara ya mwisho ilikuwa inachemka sana nikitumia kwa muda mrefu na ile screen yake inaonyesha kama kuungua...
Imestack ukiiwasha inawaka lakini inaleta maelezo kama haya katika picha haiendi popote wala kufanya chochote na hayo maandish hayatoki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wakuu,wakubwa zangu shikamoni,
Nina modem yangu ya huawei Airtel iko cracked kusoma mitandao yote, hapo awali ilifanya kazi vizuri katika computer zenye window7 8 & 10 lkn sasa...
Wakuu habari na poleni na qurantine ya corona, naomba kuwasilisha swali langu kwenu niweze pata usaidizi nlipokwama.
Kuna application ya traktor dj 2 watu wa Dj'ing mnaelewa ni kitu gani...
Niko Bukoba, nna smart-tv ambayo napenda niwe naitumia pia kwa ajili ya kustream movies, na live events ila simu yangu ya infinix imeprove failure kwenye hilo, natumia voda line ya 4G ila 4G...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.