Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia.
Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama...
Habari za muda huu wadau? Kwanza nawatakien heri ya pasaka na pia niwape pole kwa janga la corona linalotesa dunia kwasasa.
Bila ya kuwachosha, wakuu wangu najitokeza kwenu kuwaomba mnisaidie...
Wadau habari za majukumu kwa muda mrefu?
Nimekuwa napata changamoto sijui wenzangu mmewezaje kupata hii kaspersky antivirus kwa ajiri ya biashara nikiangalia bei za mtandaoni naona ya pc 10 ni...
Nimewahi tumia dating app moja huko zamani ilikuwa inakitu natamani nikipata kwenye application ingine..
Ilikuwa kama kuna member wa hiyo site near you inakupa alert. Au ume bump na mtu eneo...
Habari wakuu,
Kuna dogo nilimpa PC yangu ashushe Windows, ameformat local disk C na D ambayo ilkua na data zangu. Kuna namna naweza recover hizi data za local disk D?
Msaada
Msaada wakuu, Tv ni LG led, inaketa huu ujumbe na hakuna kunachoendelea, naomba kujua njia ya kutatua hili kabla sijaenda kwa mafundi wakaanza kuifungua fungua.
Wanajukwaa naombeni msaada juu ya kupata "CI MODULE" ya receiver maana nimepata tv ikiwa na DVB-t Receiver ndani yake na baada ya ku-searche nilibahatika kupata jumra ya channels 56 yaani za ndani...
Wakuu heri ya pasaka na poleni wote mnaoishi mabondeni kwa wazazi wa Dar kwa mvua hii inayoendelea.
Pia tusisahau kuchukua tahadhari dhidi ya kujikinga na ugonjwa hatari wa korona.
Turejee...
Jamani wapendwa mimi ni mpenzi wa NBA. Ila sasa sijui ni wapi ntatizama game angalau nne kwa wiki. Maana tv1 wanaonesha mbili tu kwa wiki halafu wanachaguliwa na kwese ipi waionyeshe. Mimi najua...
Habari wakuu.. Kama inavoonesha hapo katika kichwa cha habari.
Nimetimiza pesa yangu katika Adsense na nataka kuitowa kwa njia ya Western Union, Swali langu je nini chakuzingatia mpaka pesa...
Habari za kazi wakuu,
Nimekuwa nikitafuta alternative ya kikuu kuachana na aliexpress kwani kikuu vitu vunawai derived lakini tatizo bidhaa nyingi hakuna hasa za electronic na aliexpress zipo...
Habari wakuu,
Nina Danfoss vlt Fc 301.
Keenye parameter za minmum na maximum speed references 3-02 na 3-03 ipo katika unit ya RPM.
Nataka kubadili unit iwe katika HZ(Frequence) ambayo ndio default...
Wakuu,
Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni...
ndugu zangu habari za kutwa....sasa samahani wale wazoefu wa printer....swali langu ni ukihitaji kununua printer epson l382 ni sehemu zipi za kukagua ili kujua printer ni nzuri?
Sent using Jamii...
habari wanajf laptop yangu ina tatizo la sauti yaani haitoi sauti kuanzia kwenye spika hadi kwenye earphone
laptop yenyewe ni sony vaio. je nifanyeje
what is the possible solution?
thanks in advance
Kuna Samsung Note 4 nilimpa mtu ikiwa safi kabisa Ila baada ya muda akaniletea malalamiko kuwa inajizima baada ya muda fulani hivyo nikamuelekeza aende kwa fundi.
Kwa kifupi, alipotoka kwa Fundi...
Ndugu wadau wa jf naomba mwenyekujua bei ya simu hii iphone 8, mpya originala. Kingine naomba mwenyekujua hii simu anijuze nataka kutumia hii simu ikoje katika matumizi yake kati ya hii iphone 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.