Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wadau! Nimeona nije kwenye jukwaa hili ili niweze kufaham mengi zaidi. Mimi ni muumini wa kuangalia videos mbalimbali kule 'YouTube' hasa zinazohusu technology, (homemade). Sasa katika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naomba mnisaidie matatizo haya kwe HP laptop 1. cursor inaganda na kutembea hovyo kwenye monitor kila nikichomeka adapter kuchaji hivyo inanilazimu kuchaji ndio nitumie tatizo limeanza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptop yangu ilikua inafanya kazi vizuri lakini siku za karibuni imekua inajizima ikifikia charge 80%. Tatizo linakuwa nini wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wadau wa Jukwaa hili, natafuta "Sim Card Tray" ya simu hii aina ya Nokia 6.1. Kama kuna yeyote mwenye nayo au anielekeze kwa mtu ambaye anaweza kunisaidia tafadhali. Natanguliza Shukrani...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Forums naomba msaada mwenye kujua nina simu mpya ya Samsung S8 inashika network ya Tigo na Voda lakimi haushiki Halotel ambao ndo mtandao ambao uko available sehemu ninayoishi...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Nili delete kimakosa, kazi iliyokuwa kwenye word, nimetumia app ya imyphone anyrecover, kuzirudisha documents kwenye computer, maana hata kwenye recycle Bin, hazikuwemo. Document, zimerudi...
0 Reactions
4 Replies
774 Views
Swali linajitosheleza wakuu, MSM, WAP, naongezea hapo na APN , DATA ROAMING maana na kazi zake.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina laptop yangu Hp jana ilizima gafla kuiwasha inawaka ila haitoi mwanga kwenye screen pia feni inazunguka kwa kasi sana. Msaada tatizo linaweza kuwa ni nini?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Do u find it difficult to pay for udemy courses? Then follow the few steps to download any paid udemy course of your choice: step one -Go to udemy site.the search for any course your choice eg...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Nina Tv Hisense inch 43 nikiconnect kwenye HDMI (Dstv) inasoma/inaandika picha 1920×1080. Nikifungua video (ya ndani ya tv) ya promo ya tv yake inaonyesha picture quality sana sana isivyo...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
NAHITAJI Graphic card ya low profile NAMANISHA INAYO FITI KWENYE MASHINE YA KULALA NIPE BEI NUMBER YAKO... NB: ISIWE CHINI YA 1 GB
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni msaada kwa mwenye uelewa na jambo hili kila ninapochomeka adapter ili niweze kucharge huwa cursor inaganda na ninashindwa kuendelea na kazi hadi pale inapojaa na kuichomoa kwenye moto...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar za muda huu wakuu. Naombeni ufahamu zaidi juu ya hiki kifaa Hii ni friedge ama fridge freezer kampuni ya siemens sasa nikifungua mlango wa fridge kwa juu nakuta hiki kifaa ambacho na imani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Idadi ya watu waliolike page yangu ni 25k lakin toka juzi idadi ya watu wanaoreach post yangu imepungua kabisa na kuwa 0 hadi mtu moja tofauti na mwanzo idadi ya watu wanaoreach ilikuwa kubwa...
0 Reactions
1 Replies
916 Views
samsung j320 au 2016 nahitaji display kwa mlikua Dar nielekezeni maduka ya bei poa maana simu yangu nimeangusha na huku nimekuja kusalimia.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi, Matumaini yangu muwazima . Straight to the point hivi juzi juzi nilipiga windows 10 kwenye laptop yangu ni ya 2015 ila cha ajabu ni kwamba windows hiyo haikuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, naombeni msaada, simu yangu (handset) aina ya BONTEL yenye line ya airtel watu kila wakinipigia wanajibiwa inatumika tu, na wakati si kweli. Pia nikiotoa line na kuiweka...
0 Reactions
8 Replies
16K Views
Ni siku ya tatu sasa, king'amuzi cha startimes kimekuwa hakionyeshi chaneli za tz kama vile tbc, startv, itv n.k. Cha ajabu ni kuwa, chaneli hizo hazipo hata kwenye ile orodha ya kuchagua chaneli...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Back
Top Bottom