Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Umofia kwenu..wana Jf..! Natumai haujambo wote katika kipindi hiki ambacho Dunia yetu..IPO katika Mitihani huu Mkubwa wa Ugonjwa wa Corona. Nilikuwa Nina Ombi kwenu kama kuna uwezokano wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
feni yangu nikiiwasha inazunguka lakini inatetemeka sn na kupiga kelele ukiongeza speed kelele inazidi mwenye kujua tatizo nini na nini cha kufanya anijuze.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Jinsi ya ku ‘root’ simu yako ya Android. Utangulizi: Simu zetu za Android zimekua sehemu ya Maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia katika Mawasiliano, Kuhifadhi kumbukumbu za muhimu, burudani...
5 Reactions
109 Replies
17K Views
Kwa wataalam wa mitandao, nimeona mara nyingi watu waki"sponsa" post zao au matangazo mbalimbali kwenye mtandao wa Instagram, hii husaidia kupeleka 'bandiko' lako mbali hasa kwa ambao hawana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nataka niwe narecord audio mbalimbali kwa ajili ya podcast/ YouTube video. Ni microphone gani nzuri na cheap naweza kutumia. Nimejaribu hii ya simu naona hata haina quality.
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Wanajamii ningependa kujua izi smartphone za vivo, na oppo ubora wake...coz naskia tu tecno na infinix ni low quality, lakin zinatumia chipset ya aina 1 kwamfano; vivo y19 inatofauti gani na tecno...
3 Reactions
35 Replies
9K Views
Kama kuna mtu ambaye anaijua na anajua inapopatikana (dukani au kwenye chombo chochote cha umeme)anisaidie nina shida nayo picha yake ndio hiyo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeibiwa simu sasa nataka niifungie simu yangu ili tukose wote mimi na huyo mwizi wa simu na kama kuna app ya kuweza kuitrack ili niweze kuijua ilipo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari ya wakati huu wadau wa jukwaa hili. Natumaini mnaendelea kujikinga dhidi ya Covid19. Ombi langu ni moja tu. Naombeni mnisaidie app nzuri ya kurecord screen ya simu (Android). App hiyo iwe...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
msaada jinsi ya kuunlock security code kwenye nokia 105 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habarini, Rejea title inavyosema. Nina simu yangu ya Android (Tecno Spark III) yenye tatizo kama nilivyoeleza kwenye title. Ina kama siku ya nne tangu ilivyoanza kuleta shida ambapo ilianza kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakubwa natumain Kuna best IT's humu Kama sio programmers, Ninaomba mnisaidie nina maswali kadhaa kuhusu programming mimi binafsi napenda sana hi kitu ila sielewi naanzia wapi. Nimejarb...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Kwema huku wadau wa masuala ya teknolojia? Poleni kwa majukumu na jitihada za kujikinga dhidi ya covid 19. Nina tatizo dogo naamini mtanisaidia maana humu kuna wataalamu wengi tu wa IT. Kuna...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu, Natumia window 10 katika PC tatizo limekuja nimedelete folder imeenda kwenye recycle bin ambayo haionekani ktk desktop icon na ukienda upande wa setting ili uweke idisplay kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajuvi, Nawakaribisha tupeane tricks pamoja na matumizi mbalimbali ya command prompt. Binafsi sina ufahamu wa hii kitu, nategemea kupata chochote humu jamvini. Karibuni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni ....nimeletewa computer hapa kwa specifications hizi kama ni wewe ungenunua kwa bei gani? Cc Chief mkwawa Sent using Damu ya Yesu
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Nataka kulipa online kwa paypal nimejaribu kulink mpesa mastercard lakini imeshindikana je kuna njia nyingine ya kuweka hela paypal kwa kutumia mobile (kwa tigopesa au mtandao mwingine)
1 Reactions
27 Replies
4K Views
YONA F MARO NAIROBI , Kenya – August 2010 AINA ZA UHALIFU MTANDAO The ICT Pub Utumiaji wa Komputa zilizounganishwa kwenye mtandao unaendelea kukua kila siku sehemu nyingi duniani kasi hii ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
JAmani wanajamvi nilikua na utata, kama kuna mtu anaweza utundu wa kuweka muziki kwenye video ya kujirecord anielekeze, au hata kama kuna app basi tuambizane.
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Natumai mko vyema wanatech na mnaendelea kuchukua hatua stahiki kujikinga na COVID-19. Iko hivi, kuna file mara nyingi nalikuta kwenye storage ya simu yangu chini kabisa, huwa linakuwa na mb...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom