Hi Guys!
Leo tujifunze kitu kidogo tu na rahisi. Jinsi ya kutengeneza Simple electric train.
Ni kitu rahisi tu uwe na copper wire nyembamba, battery ndogo na AA magnet( kwenye video utaiona)...
Hello Coders!
Nahitaji kuanza mafunzo ya Java Programming (self study) huku lengo kuu likiwa ni kujikita zaidi katika upande wa Mobile Apps development.
Naomba Suggestions zenu, hasa za vitabu...
Habari wakuu,poleni na majukumu.
Nina shida na VGA (Video Graphic Arrays) za kutoka kwenye Laptop/PC kwenda kwenye Flat Screen/TV.
Ziwe VGA - out to HDMI - in,VGA - out to VGA - in.
Naweza...
Ukiwasikiliza watumiaji wengi wa simu hapa nchini watakuambia simu za Samsung ni rahisi kuvunja vioo.na pia vioo bei ghali.
Kupitia uzii huu naomba wabobezi wa masuala ya simu waje hapa Kutoa...
Hi
Naomba kujua ni mtandao uoi wa simu una unlimited internet for youtube kwa njiarahisi mtandao upi unatoa unlimited bundle za youtube!!??
Najua Halotel wana Royal Bundle but once ikiisha zile...
Nafikiria kuihama hii browser kama nilivyoihama Mozilla Forefox.
Ipo heavy vibaya sana. Haitaki PC zilizo na uwezo mdogo. Inakula RAM kuliko maelezo. Inakula almost 20% of RAM.
Ukiifungua na...
Ndugu wabobezi wa maswala ya computer upande wa hardware, napenda kuuliza, hivi ukibadilisha mother board naweza kupoteza vitu vyangu nilivyohifadhi katika computer husika? Nikimaanisha windows na...
Wakuu poleni na harakati za kuitafuta grisi maana vyuma sio poa..,kuna simu hapa imeharibika display... Ina sence touch ila haionyeshi maandisi, msaada wa kuitengeza kama unaweza njoo inbox...
Wakuu,
Nina Ipad yangu zile za kitambo za 16 BG
Sasa nataka kuresert / Factory nimejaribu Kuingiza password zote ambazo nakumbuka but imekataa inasema ni wrong.
So please kwa mtu yeyote ambaye...
Wadau, poleni kwa majukumu na mapambano dhidi ya adui covoid 19.
Nimepitapita mitandaoni nikakutana na mtu anauza hizi taa hivyo nikaona nije mbele yenu kuomba ushuhuda wa mtu ambaye ameshawahi...
Wakuu naombeni msaada wenu jinsi ya kuunga GPU kwenye laptop niweze cheza game kama fortnite, [UBG, GTA 5 na zingiene zenye maadhi hayo vifaa ntakavyojitaji na gpu gani iwe budget gpu, laptop...
Habari zenu wakuu, natumaini mpo njema kiafya mpaka muda huu mnasoma uzi huu.
Naenda direct kwenye lengo la uzi huu, juzi nilinunua bidhaa (kifaa cha umeme) yenye thamani ya TZS. 520,000/= lakini...
Habari jamaa katika jukwaa hili, siku za nyuma nilikuja na shida moja kuhusu simu yangu, nashukuru kwa kunipa ushirikiano mzuri na tatizo liliisha.
Nimerudi tena na tatizo lingine katika simu...
Habari zenu wakubwa, natumia iphone, sasa kuna hii system ya ulinzi inaitwa advanced protection kwa ajili ya kuiongezea email ulinzi zaiidi. Hii system imekua established ili kutumika na watu kama...
Najuta kutoa pesa yangu kununua hiki kifaaa ukiweka flash video za mp4 inakwambia video frame not support ukiwe mp3 inakwambia Not Recognized naomba msaada kwa mwenye kujua jinsi ya trouble shoot...
Apple wameamua kula sahani moja na makampuni yanayotengeneza budget phone.
Apple wamezindua simu ya iphone inayoitwa iphone SE.
Kitu kinachovutia kwa toleo jipya la simu hii ni bei nafuu...
Msaada nina iphone 6s plus nikichomeka chaji badala ya kuongezeka inapungua na nimeshsbadili betri na kibao ila bado tatizo lipo palepale
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajf, natamani sana kuwa Fundi wa ku-repair electronic appliances kama radio,TV,DC-AC inverters and the like. Lakin tatizo langu ni kuwa sifahamu kama kuna chuo/vyuo vinavyotoa hizo...
Msaada laptop yangu inazima zima nikitumia kwa muda na ikizima nikijaribu kuiwasha muda huo huo haiwaki mpaka nisubiri kwa muda ndio iwake tena. Kwa mjuzi wa haya mambo shida ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.