Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini nyote nawaletea salamu changamfu kabisa kutoka West Monroe, Louisiana. Data validation kwa pipo za Computer science - is the process of ensuring data have undergone data clearing to...
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Jamani PC yangu hp elitebook imenisumbua na inaendelea kunisumbua nimefikia hatua ninunue nyingine , PC ina miezi 4 nilipobadilisha window na pia jamaa flani aliniambia processor imekufa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu yaani kati ya siku yenye laana kwangu ni siku ya leo. Basi leo nimepata kakiherehele ka kwenda kuweka window7 basi jamaa kaweka vizuri 2 then kaniambia machine iko fresh ninaweza kwenda...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Habari nyote. Naomba msaada kujua ama kufahamu, naweza badilisha kioo cha ndani cha Tv yangu? Kimevunjwa bahati mbaya. Msaada tafadhali wataalam. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Binafsi napenda kutumia simu ya android kwasababu inanipa uhuru wa kufanya vitu vingi kuliko simu za iphone Team iphone ni kama wamewekewa limit ya kutumia simu ila team android full kujiachia...
6 Reactions
142 Replies
13K Views
Wakubwa za xmas, naomba msaada wenu, nina i phone 8 plus ila mpaka sasa nimeshindwa kurejesha contact zangu kupitia Gmail, kabla ya hapo nilikuwa natumia techno na nilipokuwa narejesha acc yangu...
3 Reactions
12 Replies
37K Views
Habari zenu wadau. Naomba msaada ni kwa namna gani maweza ipata Simu yangu ambayo imeibiwa Dukani ikiwa kwenye box lake yaani haijafunguliwa, kwamba aliyeiba ndio atakuwa mtu wa kwanza kuitumia...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwema Wakuu, Kipindi hiki cha kushinda home sababu ya Corona nimejikuta tu nimetamani kupoteza muda kwenye Games za PlayStation hivyo nikanunua moja. Sasa muuzaji aliniwekea games tatu tu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF, Mimi nina pc yangu kwa wale watalamu wa PC game za mpira kwa detail za PC yangu hii je naweza run pes 18 hata kwa low setting naomba wenye maujuzi wanambieee kuhusu hii.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wakuu naomba link ya kupakua hiyo series nimecheki 02tvseries imeanzia season ya 6 so naomba kuanzia 1-5 tuendelee kujichimbia nano vizuri
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu habari? naomba msaada je ni app gani naweza kutumia kurejesha picha nilizofuta kwenye sim? maana nimejaribu nimeshindwa
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba msaada wa jinsi ya kupata spotify kwenye apple device Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
bila shaka naisi tupo wengi ambao tumekumbwa na janga ili la window 10 updates yani kila niki download any app kwenye pc inakuja na icon ya website iliyo downlodia kama ile ya e ambayo ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama yupo ataeweza nisaidia kujua namna ya kudownload series all in one package nitafurahi sana, site nyingi ninazoingia series inanibidi nidownload episode 1 moja jambo ambalo linanichosha...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Sending a fax from your computer is a convenient, money-saving way to communicate with people who cannot receive email, or insist on paper documents. There are several ways to send a fax from your...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu ninatarajia kupokea PC yangu kesho Ila akilini mwangu nawaza sana burudani ya kucheza game kwa kutumia PC yangu hasa game ya football. Sasa wakuu kwa mnaojua vizuri je kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
PC yangu n aina ya Fujitsu FMV-718NU4 ya kichina China hv tatzo lake n kama hvo kwny picha ila sahv imezima display haionyesh kitu ila feni imaunguruma sana tu naomben msaada tatzo lnaezakua nn...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina shida kwa mwenye kujua gharama ama process za kufuata ili uweze kumtrack mtu kupitia nambari yake ya simu kwa kupitia TCRA mlolongo uko vipi? Mwenye kufahamu anijulishe. Ninayemtafuta ni...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari zenu ndugu wanajf, nahitaji kuregister users kwenye domain yangu ambayo ni ujamaa.com "mfano:-kholo@ujamaa.com. Naomba msaada wenu, nawezaje kufanya hivyo? Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom