Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu hivi utofauti wa simu ya I Phone za simu za android kama Samsung,Oppo ni upi? Je, i Phone yenye Storage ya 16GB inaweza ikawa tofauti na Samsung yenye storage ya 16 GB Hapa nazungumzia...
0 Reactions
41 Replies
9K Views
Wakuu habari? Naomba msaada jinsi ya ku root Infinix S5 bila kutumia PC Model: x652 Android version: 9 (Pie) Nimejaribu kwa kingroot naona haifanyi kazi inagoma kuwa installed, Kama kuna app...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Msg hazifutiki kwenye simu yangu nimeenda hadi app ya message nafuta hazifutiki. Nimeenda kwenye setting nimeclear data na cache kwa app ya msg lakini bado zipo vilevile. Msaada mwengine jamani...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari zenu, Kwa yeyote anaye mjua fundi wa blender huku Mwanza anijulishe . Nahitaji anitengenezee blender yangu imeharibika.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada ambaye ana pycham Pro anisaidie nahitaji hata kama link cracked itakuwa poa tu
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Najua kuna maelezo mengi sana kuhusu hivi vitu ila naomba kuchukua muda wangu na kuweza kuelezea kwa wale ambao wanataka kuanza kuvijua hivi vitu.(beginners) Html ni nini? Html ni Hypertext...
13 Reactions
74 Replies
12K Views
Habarini ndugu, pia poleni na mishe za hapa na pale. Moja kwa moja kwenye point, natumia desktop HP Intel Core i5-3470 3.20 GHz Ila kuna shida inasumbua kuna baadhi ya device zinagoma kusoma...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wasiojua hili, kampuni kubwa za PC gemu zinekuwa zilitoa gemu zao kwa bure kipindi hiki, but sio zote. Kwa sasa GTA V ni bure kutoka kwa Epic. Nimeshapata Just Cause 4, Assassins Creed na...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wakuu natumaini mu wazima poleni na mapambano ya Korona niende kwenye mada Kati ya hizi simu mbili Samsung m31 na iPhone 7 ipi ni nzuri zaidi? katika nyanza zote muhimu maana naona Bei zake...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu nina Idea ya Game lakini sina ujuzi wa kutengeneza nianzie wapi?Je hapa bongo kuna watu wa IT wanaweza kunisaidia?
1 Reactions
3 Replies
924 Views
Naombeni msaada kila nikitaka kucomment nashindwa yaani nazuiliwa kucomment habari za biashara inakataa ila nicomment kingine kina kubali nini tatizo itakuwa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wana jf.. Katika ulimwengu huu wa sayansi natekinolojia ni vyema kukimbia na kasi ya maendeleo yake. Hivyo basi si vibaya kujifunza kitu kipya kila siku. Nikiwa katika kutafuta namna...
2 Reactions
17 Replies
15K Views
Naomba kujulishwa Je, ni muda gani sahihi wa kuweka simu kwenye Power Saver mode? Je, ni muda wote au ni wakati simu ikikaribia kuisha umeme? Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Je, Google drive ni nini? Ipo kwa kazi gani? Inafaa kwa matumizi? Naomba pia mnipe maelezo ya ziada kuhusu Google Drive. Kuuliza ili kujua si ujinga, ujinga ni kubaki na kutokujua wakati unaweza...
4 Reactions
22 Replies
42K Views
Naomb wenye ujuzi na mafriji waniambie hiki kina kazi gan... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Nina Tecno w3 na inapata moto na inaisha chaji ndani ya dakika 15 nimebadili betri bado mambo ni yaleyale nifanyaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wataalamu nina iPhone SE, naomba kama kuna mtu anafanya kazi ya unlocking anicheki pm.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakubwa, Naomba kujua torrents site ambapo nitaweza download movies na games mbali mbali, naona nashidwa kuzipata site nilizozizoea kickass torrents, extratorrents na pirates bay...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Ivi unaweza vipi kuialibu modem ya mtandao mmoja na kufanya itumike mitandao yote
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Tanzania na Africa kwa ujumla bado tunasua sua kwenye kasi ya maendeleo ya kiteknolojia. Vipaji vingi sana kwenye sector ya teknolojia vinakosa muendelezo na njia sahihi za kupita. Nadhani...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom