Kwa kipindi hiki cha korona ..umekubali truck game game Kafka simu yako
Binafsi nakubali sana world truck driving simulater
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey, nina blog nimeinunulia domain.
ila kuna kampuni nyingi za matangazo ila mimi ninazozifahamu sana ni tatu tu Adsense, Adsterra na Propellerads.
Kati ya hayo matatu ipi kampuni nzuri kwa...
Habari!.
Naomba kutumia nafasi hii kuwataarifu habari njema watu wote wanaopenda music wa injiri(gospel) Tanzania na africa kwa ujumla .
Nikiwa kwenye hatua za mwisho kukamilisha platform yetu...
Habari, Mimi nimejisajili na Google AdSense na inekubali, kwenye dashboard yangu ya malipo ni 0% nina maana kwamba hata pale kwenye neno Add Payment Method hapa-view, eti mpaka nifikishe $100 ndio...
Kwakuwa kupata adsense account inazidi kuwa na milolongo mingi kuna wakati inalazimu watu kutumia adsense account moja kila mmoja anaweka adcodes kwenye site yake.
Ukiingia kwenye adsense account...
habari waheshimiwa
nina non hosted account ya adsense inauzwa na ishapata barua price ni 100000 maongezi yapo njoo pm tubonge nipo dsm km ukitaka tuonane face to face tufanye busness flesh tu
Nina miezi miwili toka ninunue simu hii ila inanisumbua kweli kweli. Kuna mda inaweza stuck gafla ikazima. Sasa kubwa zaidi tokea juzi nilisikiliza mziki ikiwa vizuri kuamka asubuhi haitoi tena...
ndugu zangu leo nimetembelea huu mtandao nikiwa na haja ya kununua vitu kadhaa Ipad na ereader ila ashangaa items nyingi nazo zihitaji naona kuwa seller ha ship to my country wadau kuna njia...
Nina miezi miwili toka ninunue simu hii ila inanisumbua kweli kweli. Kuna mda inaweza stuck gafla ikazima. Sasa kubwa zaidi tokea juzi nilisikiliza mziki ikiwa vizuri kuamka asubuhi haitoi tena...
Msaada wakuu nimeflash simu imekataa kuwaka na nikijaribu kuiflash tena inasoma kwenye computer kwa sekunde 3 then inapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wapendwa natumaini mnaendelea vizuri pamoja na challenges za kirusi hiki kinachotesa ulimwengu mzima COVID-19 ,
Pia ndugu zangu waislamu mnaoendelea na mfungo nawaombea pia.
Naenda...
HELLOW guys
Thefreedom hapa
karibu sana katika jamvi letu la hacking and security.
leo sina story sana ila nimekuja kuwapa taarifa wapenzi wa mpira wanaotumia bikosport TANZANIA kwamba...
Wakuu habari, nina PC yangu aina ya dell optiplex 780 naitumia kwa shughuli za kuingiza nyimbo, movie etc kipindi cha nyuma ikawa haitoi sauti nikahangaika nayo wadau wakanishauri nipige window...
Tuwe wawazi, nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana namna watu wanavyoeleza juu ya kujifunza programming.
Ushauri kwa beginner yeyote yule::=anza kujifunza DATABASE(nipo tayari kutoa msaada kwa...
Kama kuna mtu yeyote ambaye ametumia simu za startimes solar 5 naomba anipatie maelezo kidogo kuhusu ubora wake. Nimeziona zinauzwa vodacom shop Mlimani city kwa 270,000
Wakuu nataka nikasome diploma ya IT University of Dar es salaam Computing Centre evening class. Naomba ushauri wenu wakuu.
Nimevutiwa tu kusomea IT. Waliyowahi kusoma hapo vipi nilipe ada au...
Habari ya asubuhi ndugu,
Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari.
Msaada kwa mwenye idea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.