Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
ingia kwenye serching kisha ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza tu tunamaliza
15 Reactions
305 Replies
58K Views
Salamu zenu wote, Siku ya tarehe 12 january 2017 niliibiwa simu(Sonny Experia) yangu na vijana wa Bodaboda maeneo ya Sinza, kesho yake tarehe 13 niliripoti polisi lakini hadi hivi leo bado...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu, nahtaji kupata university offer kwenye namba yangu ya Vodacom, Nani anaweza kunisaidia katika hili?
1 Reactions
15 Replies
18K Views
Wadadu ninaswala moja hapa linanitaziza kwel nilikuwa na mipango ya kuanza biashara yangu ndogo ambayo niliuwa nafikiria kufanya zaidi online(through social networks) Nilikuwa nafiria kuanza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada nahitaji kufuta account ya fb na Instagram nafanyaje naomba mnielekeze
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa anayezjua anifahamishe tafadhal
0 Reactions
11 Replies
80K Views
Habari zenu wakuu, Natafuta html viewer nzuri nitayoweza ku-install kwenye java me.
0 Reactions
0 Replies
447 Views
Naomba msaada wa ushari napenda kununua TV kwa ajili ya watoto na familia ila sijui ipi ni bora na nzuri zaidi na ni full HD hata nikikaa kunagalia kandada home niwe naenjoy pia. Msaada wenu wa...
2 Reactions
129 Replies
44K Views
Kwema Wakuu, TV Yangu imezima tu Ghafla, na haiwaki kwa button yake wala kwa remote. Aina ni Samsung UA46EH5000 . Nimewaza sijui nipeleke kwa fundi gani maana mafundi wa mtaani nao hawaaminiki...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari! Wadau kuuliza sio ujinga, utakuta kwenye simu imeandikwa, (Resolution 720x1800), Je ina maana gani na ina mahusiano yoyote na camera? Kwenu wataalamu. Ipo hivi, Resolution ni namba za...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Kampuni ya Facebook imeshtakiwa kwa tuhuma za kuwafuatilia watuamiaji wa Instagram kwa kutumia kamera za simu zao bila ridhaa ya watumiaji. Facebook imekanusha tuhuma hizo na kueleza kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomben msaada wa hizo game (Msaada wa GTA VICE CITY NA GTA 5) kama kuna mtu ana mbinu na weza kuistall maana tatzo hapa ni Mb
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Miye ni mapenzi mkubwa wa Simu za kampuni tajwa hapo juu. Nimefanikiwa kutumia baadhi ya Simiu zake, Lakini ndoto yangu ilikuwa kumiliki samsung a80, Je, bado zipo kwenye stock na kwa sasa bei...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Habari za wikiendi wataalamu. Kuna simu hapa Tecno Spark 3, tatizo lipo upande wa network. Sehemu ya kuseti network kuna option mbili tu ambayo ni [emoji819]3G [emoji819]2G 1. Uliweka 3G laini...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau naomben ushari nn chakufanya maana naona sasa nimesha kuwa mtumwa kwa hela zangu mwenyewe hii pc nilinunua mpyaaaa kabisaaa nikawekewa vitu nilikuwa hadi na furahia kuna kipind ikawa kama...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za wakati wataalamu wa tekinolojia.Nataka nianze kupiga video za uswahilin.JE CAMERA GANI NI NZURI KWA MTU ANAEANZA KAZI HII?
3 Reactions
23 Replies
15K Views
"phone ACK error ( get infor)_id_03_01" by gsm alladin V2 1.34 msaada mwenye kufahamu namna ya kusolve io kitu..ahsanteni!!
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari Wana jf, Naombeni kuuliza wataalamu kwenye sector hii, nilikuwa nikisumbuliwa na sintofahamu kwenye mawasiliano ya simu na mwenzangu. Ipo hivi nikiongea nae huwa nahisi sauti ya third...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu wanajukwaa Rejeeni mada tajwa hapo juu.Ninayo account You tube,naombeni msaada wenu nifanyeje ili niweze kupata views nyingi pamoja na subscribers wengi (kama...
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Ni Tecno spark 4, inagoma kuchajiwa wakati imewaka,pia nimejaribu kutransfer data kwenda kwenye PC haileti options za USB California love
1 Reactions
11 Replies
799 Views
Back
Top Bottom