Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ushauri;nataka kununua shockup za nyuma za mark X Zio..je aina gani ni nzuri..?na zilizobora ni za mtumba au nijitungue dukani.?itakua vzr kama nikijua na bei pamoja na eneo ambapo naweza kupata...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa miaka mingi intel amekuwa ndiye kinara wa processors inapokuja suala la Desktop Computers. Kuna kipindi intel alikuwa anashikilia zaidi ya asilimia 75 ya market share ya processor za computer...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari kwa kila mwana Jf anayepitia uzi huu, matumaini yangu ni kwamba m/Mungu anawasaidia, kwa wote wenye matatizo nawaombea kwa m/Mungu awatue mizigo mliyonayo. Nikienda moja kwa moja kwenye...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za saa hizi, Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji ku add features kwenye pc [emoji335] yangu hp natumia window 8.1 tatizo Sina Product keys kwa ajili ya kufanya new updates ya features. Naomba msaada wenu nipate hizo features. Mpaka sasa...
0 Reactions
6 Replies
947 Views
Wadau heshima kwenu. Tangu jana simu zangu zimekuwa zinapoteza majira, yaani nakuta simu iko nyuma saa kadhaa wakati mwingne inarejea sawa. Hili jambo nmewasiliana na watu kadhaa pia imetokea...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari wako nimepata changamoto ktk playstore simu yangu naambiwa ipo uncertified imekua ngumu ku stream dstv naambiwa my device is not certified,masaada tafadhali..
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naulizia ni wap naweza kupata stencill na soldering paste kwaajili ya relballling ya Ic za cm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo nilikua naangalia saa kwenye simu yangu ndogo (kiswaswadu, kitochi) ilikua saa 11:44 ghafla ikabadilika na kuwa saa 08:44. Nikarekebisha ikakaa sawa. Imefika saa 13:04 ikabadilika tena na...
0 Reactions
10 Replies
914 Views
Nataka tusaidiane na tupeane maarifa na ujuzi kuhusu Simu za samsung hasa hizi flagships za miaka ya nyuma kama S6, S8, Note 8 na S9 ambazo zinauzwa hapa Tanzania miaka kadhaa baada ya uzalishaji...
3 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu na shida moja kwanzia mitandao irud mimi kwangu speed ya internet kwenye pc ni ndugu saana haijalishi nitumie WIFI(SIMU) au moderm ila kabla ya hapo ilikuwa ina speed nzur tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini waheshimiwa popote pale mlipo, kama title inavyoonyesha nahitaji kujua kubaidilisha simu ambayo iko kwenye muundo wa Chinese version kuwa Global version je inawezekana? Nauliza hvyo kwa...
0 Reactions
5 Replies
944 Views
Habari wakuu! Naomba mwenye uelewa na hili anijuze. Ninatumia smart tv kwa muda sasa. Zamani wakati naichukua kutoka dukani nilikuwa na uwezo wa kuaccess apps zake kama vile youtube, netflix etc...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
With the Mate 40 flagships out of the gate, Huawei is moving its attention to the P-series – despite US sanctions disrupting its supply line, the company is on track to launch the P50 phones in...
1 Reactions
3 Replies
656 Views
Kampuni maarufu duniani inayojishulisha na masuala ya TEHAMA ‘Google’ itaanza kulipisha watumiaji wake wa mtandao wao wa kuhifadhi picha mtandaoni (Google Photos) ifikapo Juni 2021. Mtandao huo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
"Yani nimejiunga kifurushi cha gb 1 baada ya dakika 5 kimeisha, makampuni ya simu wezi" Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao Computer...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kujua Top 3 CMS ambazo kwa utaalamu wako unazikubali. Ukitoa na sababu itakuwa poa zaidi. Nianze na mimi mwenyewe (ila nazijua mbili tu) 1. WordPress: Sababu Ni rahisi kusetup na...
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Habari zenu wadau, Kuna technology mbalimbali hasa technology ya kuunda internet, technology kurusha kombora na rocket kupitia computer pia technology ya kuunda satelite na kuirusha angani...
0 Reactions
6 Replies
928 Views
Nahitaji huduma ya kwanza laptop yangu imegoma ku display imewaka kwenyekeyboard inaonyesha lkn kioo hakionyeshi. Nifanyeje kabla ya kupeleka kwa fundi.
1 Reactions
5 Replies
849 Views
Back
Top Bottom