Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada wana JF, natumia PC yenye BE Operating System (BEOS) yaani imegoma kabisa kubadilisha tarehe ziwe 2011, inakomea 2010 tu nifanyeje? naombeni msaada wenu! Asante.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mastercard yangu iko fresh tu. Nashindwa lipia adds. Napokea ujumbe huu Nmeshajarib had nmechoka sasa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Asubuhi wadau wa Jforum ,Bila kupoteza muda ni kwamba nina simu ambayo Imevunijka display Kwahyo haioneshi chochote zaidi ya mwanga tu,Hvyo nina mpango wa kuagiza display lakin sifahamu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hiyo ni location inayo onesha wapi nilipo kwa wakati huu .. Naomba kusaidiwa, nawezaje kutumia sm na isisome location ya seheem niliopo ...kwa mwenye ujuzi anisaidie niifanye nini sm yangu ili...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Habar za mda huu wadau wa JF.. Naomba msaada Kwa yoyote aliye interested na Cisco networking technology. Msaada wenyew ni wap naweza nkasoma lecture na simulation baaae nifanye kwny real devices
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeona hii Product key One Drive + Office 365 Pro Plus inauzwa kule AliExpress kwa bei ya 10,059.72 ya Tz ikiwa ni ya life time na nikaona kuna mbongo mmoja alicomment pale kuwa (it's ok) na link...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naweza pata wap free tutorials za java na JavaScript complete. Kwa anaejua tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu humu ndani nina bajeti ya shilingi laki 3 naweza pata simu gani nzuri na mpya ya kampuni ya Samsung isikose fingerplint
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujuliswa wapi nitapata capacitor ya 220 microfarad/400v sanasana kwenye maduka ya kariakoo. Anaejua naomba anielekeze TV Yangu ilipata hitilafu ya umeme. Kama utaweza kujua a cost yake...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wasalaam Wana JF. Simu yangu inachangamoto ya ukaaji wa chaji, Naomba nisaidiwe sehehmu nzuri ya kununua betri, pia fundi mzuri atakayenisaidia kuweka. Bila kisahau gharama za betri la Samsung s6...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Good morning wanafamilia bila kupoteza muda, naomba msaada wa kuagza simu nje anaejua au fahamu web nzuri ya kuagza mzigo classic bila figisu anisaidie web pamoja shipping cost zake. Kununua sim...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Natamani kujifunza video making and video editing msaada tafadhali kwa mwenye ufahamu wa mambo haya
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana jf. Leo ningependa kukujuza jinsi ya kutransfer file kutoka kwenye simu kuelekea kwenye PC au kwenye PC kuelekea kwenye simu bila kutumia cable yoyote. Kikubwa pc yako iwe na wifi.or...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nilitaka ku recover pc yangu baada ya kuanza tabia ya kustuck, nimefika step inahitaji bitlocker keys ambazo sina, naomba msaada hapo nafanyaje kwani nashindwa kurudi kwenye window Kama kawaida...
0 Reactions
8 Replies
639 Views
Habari wanaJF, Wakuu kama mnavojua kuna technology nyingi sana ambazo kwa miaka ya nyuma nadhani hazikuwepo lakini leo hii zipo. Je, kwa upande wako unatamani teknologia gani mpya uishuhudie...
7 Reactions
247 Replies
18K Views
Hizi mashine za kutoa risiti za TRA ni ghali hasa kwa mtu anayeanza biashara na hana uhakika wa mzunguko wa fedha. Uchunguzi mfupi niliofanya ni kwamba Bei ya chini kabisa ni Sh. 580,000. Bei ya...
13 Reactions
81 Replies
12K Views
kwenye android nimepata app moja inaitwa MP3 music download ambayo unaweza kudownload music wowote nikawa nataka kutengeneza rightone i.e kukata mziki nichukue kipande ninanchokitaka nikitumie...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wana jukwa kama nilivo eleza apo juu mim ni mtumiaji wa computer ila sina utundu nayo sana kwa undani baada yakununua yangu nina kama miezii sita ivi natumia sana san kwa matumizi ya...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Kama mnavyojua hii simu ambayo inatokana na Samsung J7 Series kipindi cha nyuma ikiwa na Android 6.0 hadi 7.0 ilikuwa ni rahisi kui-root kwa kutumia custom recovery kama TWRP lakini tokea updates...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wadau. Nina simu aina ya Itel S31. Kiukweli hii simu ina kamera kali pia ipo speed sana kuitumia na ni nyepesi. Sijawahi hata siku moja kuiona imekuwa nzito. Tatizo la simu ni...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom