Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nitawezaje kupanga divisions kwa kutumia program ya Excel ? Naombeni msaada wakuu. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
43 Replies
21K Views
Habari wadau,nataka nipate kisimbuzi chenye local jee kwa kuzingatia ubora wa picha na sauti na signal bora ninunue kipi wadau karibuni.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna mdogo wangu kaitwa kwenye usaili wa Mamlaka ya maji mojawapo hapa nchini kwa fani ya IT ,waliowahi kupitia kwenye aina hii ya usaili naombeni uzoefu wenu hapa.Ni maswali ya kutoka angle ipi...
0 Reactions
2 Replies
801 Views
Habari wadau hilo suala hua lina nichanganya kwani kuna radio mitambo inanguvu kubwa kuliko mingine mfano radio hizi radio one,RFA,radio maria nguvu zake ni kubwa,je nguvu ziko tofauti au nini...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Wakuu naomba tushirikiane kujuzana katika hili, inawezekana Plate no moja ikatumika magari mawili tofauti??
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu.. Rejea hapo juu...nimejarbu kutafuta online hiyo kitu sijapata site inayotoa free..kama kuna mungwana anisaidie premier acc ya sammobile nidownload..maan wamezuia free down kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Na shida na PCB sircuit zinapatikana wapi sanasana kwa maeneo ya hapa singida Kama kuna mtu anajua zinapopatikana anielekeze tafadhali Au mwenyenayo tufanye biashara Asante.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nimejaribu kutengeneza key batan na kwa kutumia resistor k22na k100 na k47 K22 inatumika katika Ku next pia volume- K100inatumika katika kurudisha nyuma pia volume+ K47 inafanya kazi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwa hili. Kitambo sijalipia kingamuzi so nilikua na enjoy TV 1 for free....leo nimelipia pesa lakini bado channel hazikamati inabaki kuandika smartcard error kwa screen!!!what's solution...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu... Naomba kufahamishwa njia mbadala yakuunganisha TV yangu ya Sumsung 23" isiyo na sehemu ya earphone au port yakuunganishia speakers za nje kwenye subwoofer. Natanguliza...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
A vulnerability in the messaging app WhatsApp has allowed attackers to inject commercial Israeli spyware on to phones, the company and a spyware technology dealer said. WhatsApp, which is used by...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Salam, photocopier yangu haifunction inaleta maneno hayo, Pse mwenye kujua anielekeze jinsi ya kuliondoa.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
niko arusha na simu yangu ina hilo tatizo, nimejaribu kila njia nimeshndwa kuirekebisha so kamq kuna fundi hapa arusha anayeweza kunirekebishia tuwasiliane tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wapendwa Niende moja kwa moja katika mada Moja kati ya eneo ambalo nimeliona ni swala la website nyingi ziwe za kibiashara,blogs za habari,n.k.zinazoanzishwa katika nchi...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba msaada wa JF nina king'amuzi cha Startimes nilitaka fanya malipo nikakizima na kuchomoa kadi, Nimelipia na kurudisha kadi na kuwasha kinaandika "Loading" alafu bango la Tangazo lao kisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari ndugu,kwawale ambao wanafahamu matatizo ya simu za tecno naomba msaada wa kujua tatizo la hii simu tajwa hapo juu(tecno w4),toka juzi nilipoiwasha screen imeganda hivyohivyo huwezi kufanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana CEO wa kampuni ya maswala ya anga Space X,Elon Musk alionesha satellite 60 ambazo kampuni hiyo itazirusha angani wiki ijayo zikiwa tayari zimepangwa kwenye rocket aina ya falcon 9...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Wana GT nahitaji hiyo tablet wapi nitapata kwa Hapa Tanzania, msaada Wana GT Iwe inches 8 ,na kama Kuna muungwana anayejua specifications ambazo zipo kwenye tablet nzuri please anijuzi please.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Natafuta betri (original kama itawezekana) ya samsung J7 (2016). Hii niliyonayo imechoka balaa. Chaji kukaa hata 2 hours ni bahati. Nimejaribu kuzunguka madukani wananishangaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom