Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32" Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo. Kwa ujumla...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Habari za leo ? Natumia mozilla firefox kuingia kwenye mtandao mara kwa mara tangu nimeanza kuitumia haikuwahi kuleta shida yoyote naingia kwenye websites mbalimbali bila shida yoyote Sasa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji tags za kuweka video na audio kwenye personal website. NB:am begginer.🙏🏽🙏🏽🙏🏽
0 Reactions
2 Replies
528 Views
Wana JF katika kutafuta simu nmekutana na simu mtandaoni kabla ya kwenda dukani kununua nmekutana na hizi mbili, Tecno Spark 2 na Nokia 2.1. Kwa ambao wamewahi kutumia simu hizi hapo au hata kujua...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
shukhrani kwa wanajamvi Mimi shida Yangu ni reset sim Yangu ya android infnix note 4 sasa nilisahau pasword ya e-mail Yangu na sim haionyeshi program wala haiwezi kuonyesha setting nifanyeje wakuu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hellow JF Kama kawaida sijakosea kichwa cha Habari...Computer yako ina Gender yake pia. So ni wakati mwingine wa kufahamu kama computer yako ni JIKE au Dume!!! If it is a Lady then Treat it...
12 Reactions
52 Replies
7K Views
Nilishawahi kuleta hili huko nyuma likapotezewa, so I will try for the last time. Hili jukwaa halitufai tena. Na maadam limeonekana kuwafaa wanaotafuta msaada wa gadgets (Jukwaa lao actually), ni...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wadau.. Kuna PS3 game ambayo ni used inauzwa... iko full packaged na ina padi zake mbili wireless.. Imetumika kwa muda wa miezI 6 tu tangu kununuliwa mpya kutoka dukani.. yenywe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za majukumu wadau. Tangu juzi najaribu kufungua website ya jeshi la polisi kwa kutumia simu naona haifunguki na kuniandikia hvi. Naombeni kujua kama kuna tatizo au nimekosea
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu waaungwana.Ninapenda kuchukua nafasi hii kuomba msaada wa kujua ubora,aina pamoja na bei ya motor za kuendeshea mtambo wa kukoboa mpunga(especially hp 40). Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Nani ana wazo ya kuwekeza kwenye new technologies ? Lakini kidogo kidogo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini, Natumia Dreamweaver cc na bootstrap v3.1.1, nataka kutengeneza "Carousel" lakini sipati option ya data-target, wala data-toggle, nimejaribu pia kutumia Bootstrap v3.2 Bootstrap v3.2...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za wakati mana tech naomba msaada kwenye hizi markup chini nimetengeneza navagation links kwa kutumia bootstrap ambayo nime idownload ili niwe narun locally kwenye PC yangu sasa shida...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa habari kinavyosema! Katika pita pita mtandaoni nimekutana na hii kitu inaitwa bootstrap studio! Yani una drag na ku drop items then unajipatia website yako murua kabisa!! Je...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wadogo zangu na ndugu zangu nimewaita kaka yenu, mm ni mhitimu hapo UDOM Kwa mwaka 2013 kitivo cha Education ng'ox kule kwa wajasi wA ukweli. Nina shida za kiufundi ktk computer, za...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada kabla sijasajili hii laini ya chuo ya airtel nilikua nahitaji kujua vifurushi vya internet wiki na mwezi ni bei gani na napata MB ngap.........??
0 Reactions
21 Replies
39K Views
Helow guyz.... Karibuni wanajamii wote tupeane maujanja na maujuzi kuhusu kali nethunter iliyo developed OFFENSIVE SECURITY kwa ajili ya penetestig na hacking kibao.. Karibuni..........
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MSAADA FILE AU LINK YA KUPATA FIRMWARE YA SIMU TECNO SA1 Pro,Online RAR files zake nyingi nikipakua ziko encrypted Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Leo nimewasha pc yangu inanipa maelezo "Intel anti-theft system detected" nimeambatanisha na picha hapo chini naomba msaada kama anayejua user password au jinsi ya kutatua hili tatizo
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom