Habari ndugu zangu
Nina Simu aina ya tecno l9 plus ina tatizo La kutopandisha mtandao (inaandika emergence call only) hii ni baada ya kuifanyia hard reset.
line zinasom ila zinaandika emergency...
Ni duka gani la vitabu lililopo kariakoo ambapo naweza kupata hiki ktabu the last plague, nina shida nacho sana . Ata kama utakuwa nacho ktk mfumo wa soft copy unaweza nitumia ...
Sent using...
Msaada kwa watalamu wa maswla ya kibenki hasa kuhusu makato na riba na kwa upande wa master card na visa ipi ni bora zaidi na nikwa bank gani ndo inakua freshi zaidi
Sent using Jamii Forums...
Poleni majukumu ya maisha wakuu.
Kama kichwa kinavyosema, shida yangu ningepeda kujua ni madhara gani ya kutumia windows ambayo haijawa activated. au Kuna madhara gani kutumia windows ambayo...
Habari wana Jamvi! I am a self taught fullstack Web and mobile developer, using JavaScript front-end and backed. Kwa wale wanaotaka kujifunza web development for fun or career. Nitaanza kutoa...
Habari wana JF...samahani,naomba kuuliza kama hii hometheatre ina uwezo kushinda subwoofers.
Yaan ina mziki mkubwa na mzuri???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalam nina desktop yangu sijaiwasha huu mwaka wa tano nlkua safari nimerudii vipi itakua nzima kwa chombo cha umeme miaka mi5 bila kuwashwa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Leo amekuja mtu hapa nilipo ameniambia kuwa kuna app inaitwa humaniq app ambapo ukiwaunganisha watu wa nne unapata mkwanja lakini nimejaribu kumuuliza inahusiana na nini ameshindwa kunipa...
Mambo vipi wadua?Poleni na kazi napoleni na majukumu ya kila siku nawapenda sana.Bila kupoteza muda napenda kuishukuru jamiiforums na wadau wote maana na amini jamiiforums ni wadau walipo humu...
Kwa wale waliokuwa wanaibeza tecno kwamba ukinunua umenunua uwezi pata Uptodates hii ni habari mbaya kwenu maana mmepunguza point moja ya kubeza.
Tecno C8 tangu niinunue imepata OTA uptodate mara...
Habari zenu ndugu zangu wana Jf natumai mko salama kabsa huku tukielekea kumalizia jumapili ya leo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Najua kuwa Jf ni mujumuiko wa watu tofaut na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.