Tangu ni mehamia huku USA RIVER mwaka jana hakuna hata siku moja umeme ukaa masaa 24 bila kukatika hovyo hovyo.
Yaani kwa siku umeme unakatika zaidi ya mara kumi hamjui tatizo ni nini mkafix...
Sijaingia stackoverflow tangu juzi sasa leo nimeingia nimekuta ma rangi rangi ya ajabu hadi nikahisi nimeingia kwenye site tofauti,Nimejaribu kuchek acount yangu naona ipo sawa. Sasa emu wadau...
Nimtumiaji wa simu Aina ya Samsung pamoja na Itel S32
USB zake zote nilizo nunulia na simu zimekufa' nimejaribu kununua USB kadhaa zimekua haziingizi charge( wakati mwingine inaonesha charge...
Hope mko poa hii of a sijui ipo kwangu tuu halotel kuna bundle wameniwekea kuanzia SAA 6 usiku
Unajiunga kifurushi cha 1000 unapiga halotel bila kikomo na wanakupa mb bila kikomo mpka SAA 12...
Wakuu simu yangu tajwa inatatizo upande wa betri. Kwan inakaa muda mfupi tu na chaji na inaweza kuzima chaji ingali ina asilimia hata 60.
Je ni wapi naweza pata betri mpya na kwa kwa gharama...
Kuna simu za samsung ambazo hazipokei android version kutoka kwa manufacture directly.
Mfano ni galaxy S6 flat (SM-G920P).
But unaweza update version manually.
Sasa tuje kwe lengo.
Ni wazi kwamba...
Saa ya Pebble ilikuwa miongoni mwa smart watch za mwanzo kabisa kuingia sokoni, Nike walifuatia na Nike Fuelband na kampuni nyingine kadhaa ikiwemo Sony. Makala hii itafananisha Saa ya Pebble...
Kama thread inavyoeleza...naombeni msaada nielewe...nimenunua friji mpya leo...nimeiwasha baada ya masaa takriban ma4 baada ya kufikisha nyumbani...
Naona inapata moto pembeni...naombeni nijue ni...
Wakuu kuna mtu nataka nimchukulie simu sasa kwa pesa hio napata simu gani ya kueleweka ukiachana na Tecno, infinix, Itel kuna hii Samsung Galaxy J4 plud vipi mliowahi kuitumia!?
Nina iphone 6 nliagiza from dubai imekua locked na network ya verizon kwakua nliagiza simu mbili natumi nyingine hii naiuza utaenda kurekebsha mwnyewe maana ni common problem ndio maana naiuza hyo...
Habari wana JF Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala haya ya teknolojia najua utakuwa unajua kuwa leo kampuni ya Huawei imezindua simu mpya ya Huawei P30 na P30 Pro. Lakni moja kati ya simu bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.