Salaam wakuu! [emoji120]
Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania hata kama ni UNLOCKED?
Nikiwa kwenye mchakato wa kuzihama Tecno, pendeleo langu ni OPPO au LENOVO...
One of my Excel is protected by a password, which prevents me from opening. I can still remember the password is pure number (less than 6 digits). Is brute-force the right way to recover the...
Naomba niwarudishe shule kidogo. Kwanini tunatumia copper Road kuunganisha waya wa Earth kwenye nyumba zetu?
The resistance of an electrical Conductor depends on 4 factors, Length, Cross...
hbr wakuu
kama kichwa kilivo eleza hapo juu cm yang n itel t1507 nikiingia play store inasema game haliendan na vision ya cm yang ila nikitumia search engine kudownload lina install then linakata...
Huyu bwege hilo file aliloweka ni ransomware ambayo imejificha nyuma ya IDM ukiinstall tu imekula kwako documents zako, miziki, picha zote zitakuwa encrypted na utaanza ona ujumbe baada ya muda...
Tofaur kubwa ya wazungu na jamii nyingine ni uwezo wa kutoweka akili zao katika comfort zone, lakin changamoto kubwa inayotukabili sis jamii nyingine ni ile hali ya kuiweka akili zetu katika...
Enyi wadau wa Tekinolojia naomba mnisaidie namna ya kuweka link, hapa nimefungua website ya Kanisa na shida yangu ni kwamba kuna Fomu za wakuu wa idara ndani ya Kanisa ambazo nahitaji kuziweka...
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa na imejaa watu wenye vipaji wengi vijijini na mjini. Ukienda silicon Valley marekani utakutana na moja ya makampuni yanayolipa vzr duniani Google. Asilimia 14 ya...
Habar wanajf natumia PC aina ya dell ila inanikera kila nikicopy file kutoka kwa mtu niki paste pale ina-paste fresh lakini lile file nikija kulifungua unakuta baazi ya vitu havipo au inakuandia...
Blockchain theoritcal ni ngumu sana Kwa hackers kuiba data, lakin baada ya blockchain kuja mainstream kama kawaida hachers wanajiibia data
Tatizo kubwa LA blockchain ni kuwepo Kwa bugs mfano...
Hii simu imedondoka na wino umevilia kama inavyoonekana. Lakin inafanya kazi kama kawaida. Hata ukitouch upande huo wenye wino inafanya vizuri tu.
Je kuna namna yoyote ya kuondoa wino huu badala...
Pawahost.co.tz inakupa ofa ya mwezi wewe mfanya biashara kumiliki barua pepe "e-mail" inayoenda sambamba na jina la kampuni au biashara yako. Mfano: info@jinalako.co.tz badala ya kutumia barua...
Azam Tv umefka wakati sasa wa Kujitathimini....baada ya kufungwa kwa Local channels kama WASAFI TV, CLOUDS TV, EATV na nyinginezo ambazo muda mwingi zilitupa burudani ya Muziki.....sisi wapenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.