Lap top yangu aina ya lenovo thinkpad ilizima ghafla na sasa hivi nikiiwasha batan ya kuwashia inawaka kama sekunde moja na wakati wa kuwasha kama ina vibrate afu inazima tatizo ni nini au ndo...
Wakuu habari za muda.. Natumai mu wazima na majukumu ya hapa na pale hasa katika suala zima la TEHAMA
Ninatumia Samsung J5 ina ukubwa wa GB 4 internal storage yake...nimenunua memory card ya GB 8...
Wadau nimedownload kitabu flani hivi lakini kila nikifungua ili nikisome hakifunguki inaandika UNABLE TO FIND APPLICATION TO PERFORM THIS ACTION...je kuna app yoyote natakiwa niwe nayo ili niweze...
Mwaka huu nime barikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwa changu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu...
nina lap top yangu iliingilia na maji sasa ikiwashwa inanesha taa zote kuwa imewaka but hadisplay chochote kwenye monitor. kama ww ni fundi upo dodoma nione PM tuyajenge, ila ushauri pia...
Naomba kujua kwa ufasaha hizi course za IT zina dill na nn hasa.
1.Information and communication Technology
2.Information and telecommunications technology
3.Computer Engineering
4.Computer...
We’re shutting down Google+ for consumers on April 2, 2019. No other Google products (such as Gmail, Google Photos, Google Drive) will be shut down as part of the consumer Google+ shutdown...
Habari wana JF, Natumaini wote ni wazima na mnaendelea na harakati zenu kama kawaida. Kwa siku ya leo ningependa kushare na nyie njia rahisi ambayo unaweza kutumia kuondoa matangazo kwenye app...
Mwenye 6s plus yenye reactivation lock (icloud lock) au labda ina matatzo mengne lakin kioo na body viko sawa. Anicheck inbox kwa Biashara. Nicheck 0763976109
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini za humu
Nina Laptop yangu ina Window 7 na nimeweka Ant-Virus,Sasa Ilikuwa ina Connect WiFi lakini inaandika NO INTERNET ACCESS,Nikasema nifuate njia moja Hivi Youtube nimeifuata Ile Njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.