Wakuu msaada system yangu
Sony DAV-DZ350, subwoofer haitoi sauti hata sielewi tatizo nini maana nilikua nakula ngoma fresh tu bass mtetemo hadi utumbo unacheza tumboni. ghafla bass ikakata lakini...
Habari wakuu.
Tafadhali naomba kujuzwa namna ya Ku buruza video,movie au audio iende kwenye vlc Ili icheze
Kwa kutumia "keyboard shortcut key" pekee.
Natanguliza shukrani.
Nimedownload App ya POPCORN TIME, Ila inagoma kuangalia Movie inasema niakitivet VPN, nami sina hela ya kulipia, Kwa hiyo naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya kuangalia bure anisaidie tafadhali...
Wapendwa naomba msaada, shida yangu ni kwamba mimi ni karani wa Kanisa na nina majina na namba za washiriki zaidi ya 700 na ninahitaji kupata app ambayo nitaitumia nikihitaji jina la mtu na type...
Wakuu habari.kama kichwa kinavyo jieleza.nahitaji kuanza kuagiza bidhaa mtandaoni.
(1)mtandao/mitandao gani ya uhakika
(11)risk/changamoto
(111)mahitaji au viambatanishi kabla na baada ya kuagiza...
3D,4D&7
Kwa wale wenye uelewa wa mambo haya naomba kufafanuliwa kidogo juu ya mambo haya japo yamekaa kinadharia sana ila kuna wakati huwa yananiacha na maswali mengi binafsi huwa nakosa jibu...
Kikweli mimi siyo mtaalamu sana wa laptop nina kama laki 350 hivi mnaweza nisaidia kunitajia laptop ipi nzuri naweza pata kwa hiyo bajet yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina plan ya kununua home theater ya LG, Vipi kwa waaalamu wanaojua bidhaa za LG mawazo yenu kidogo nisije nikajikuta najuta afu ndo nishatoa mpunga mwingii..... ziko poa ???? naomben msaada wenu
Hi wana JF
Naomba msaada kwa ambae anaweza kuwa na PDF ya vitabu vya kujifunza kutengeneza applications za simu kwa beginners. Nahitaji niwe IT kwa kujisomea mwenyewe, at least now nimejifunza...
Kampuni ya teknolojia ya nchini marekani Nvidia Inayojihusihsa sanasana na utengenezaji Graphics card za computer hivi karibuni ime reveal graphics card zao mpaya ambazo ni
GEFORCE RTX 2080 Ti...
Nimeletewa zawadi na mtu anayeamini naweza kuwa na interests nayo.
Zipo zaidi ya 10. Nafikiria kuziuza na pesa kununulia kitu kingine kitakachonifaa na ambacho kitakuwa mbadala wa zawadi hii...
Wakuu
Nimepewa zawadi ya Vodafone smart tab 3g nd6o ninayoandikia huu Uzi
Natafuta simu ya kawaida yeyote ila iwe haina tatizo maana tablet yangu haina ttzo lolote
Tubadilishane
Ama kama...
Tunatumia bulk SMS service kutoka kwa mdau mmoja TZ(jina linahifadhiwa) kutuma SMS kutoka kwenye software yetu kwenda kwa wateja wetu.
Kwa bahati mbaya kumekuwa na delay kuubwa sana (>2 minutes)...
Nahitaj kubadili fonts ziwe kama za Samsung lakn nashindwa kwny setting hakuna Ila kuna namna ya kufanya kuzipata je, nafanyeje?? Msaada plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuandika kitabu kwa habari ya Technolojia (sijaamua bado kama itakuwa ni Software Engineering, Networks au Databases) ila kuna maeneo nataka kusikia maoni yenu,
Lugha ya kutumia ili...
Habari wana bodi,
Nadhani mtakubaliana nami kuwa university ofa ni suluhisho na ni mbadala wa kubana matumizi katika mitandao ya simu.
Leo katika kuangalia menu nimekuta ofa moja tu ambayo nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.