Habari wakuu
Niende kwenye mada moja kwa moja, wakuu naomba msaada wenu kuelekezwa namna ya kutoa lock kwenye simu yangu nimesahau password.
Natanguliza shukrani.
Joram Dymisster kuna tatizo la blog yangu kuhusu pageviews kuwa tofauti sana kwenye blogger na kwenye adsense account hadi nlianzisha thread lakini sikupata jawabu.
Je unajua mbinu za kuifanya...
Guys samahani Kwa usumbufu. Naomba kufahamishwa jinsi ya kujiunga na cable tv, zina madhara gani, faida zake, zina channels ngapi, umuhimu wake na gharama.
Ahsanteni
Wadau naomba kujua namna ya kutengeneza google forms ambazo unaweza kumtumia mtu link akajaza kisha akakutumia.
Bado sijapata ufumbuzi kwa hili msaada unahitajika.
Sent from my TECNO L9 Plus...
Wadau wa jf mambo vip mnisaidie program ya kuwasha kopyuta na jinsi ya kuipakuwa mtandaoni au mwenye nayo anisaidie wapendea
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu Habarin ?? Nimeandika uzi huu baada ya kuona mambo kadhaa ambayo ni mhimu kwa Namna moja ama Nyingine Yaongezwe kwenye Forum Yetu hii ..pengine Naweza kuwa mm ndo nimeona Yana Umhimu na...
Wakuu wale ambao wanania ya kutengeneza pesa mtandaoni nimekutana na hawa jamaa wa bestchange affiliates, ni rahisi kuregister na ni kweli wanalipa.
E-currency exchanger listing, best rates from...
Zamani hizo mitandao ya simu ilikuwa inatoa huduma hii. Lakini siku hizi imekuwa nadra sana kuona mnara wa simu ukiwa na hii huduma. Labda uwe wa zamani sana.
Huduma hii ilikiwa inamuwezesha...
Ndugu mimi nina akaunti Twitter ambayo nililog out na sasa nikitaka kulog in inanikatalia hata hainitumii conformation message sasa sijui nifanyeje wanajopo. .
Sent using Jamii Forums mobile app
hii hapa ianatokea unapotaka ku share picha moja ,sim inakataa na kuandia sorry the systeam of android is stopped lakini neno ilo linatoka fastaer mno na kuliondoa upes ,unapo cklick picha zaid ya...
samahnn samsung yangu s6 inashindwa kuampdate kutkoka vesion moja kwenda nyingine jambo ambalo linaifanya iwe very slow na ukienda setting kwenye software update inashindwa kufungua kuleta ile...
Jamani mwenye software ya iboysoft iliyo full cracked naomba anisaidie.
Hii software inatumika kurecover hard disk zilizoliwa na virus.
Kama external au usb flash ukiichomeka ina dia u format...
Wadau naomba kujua namna ya kutengeneza google forms ambazo unaweza kumtumia mtu link akajaza kisha akakutumia.
Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.