Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu! nimeamua kujaribu kutengeneza Website [Forum] yangu, sasa nataka ni publish iwe inatumika hapa Tanzania na East Africa pia, je nitakuwa nimekiuka mashart kuwaiga hawa walio tangulia...
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Hii kitu siyo linux based bali ni windows based OS. Kama kuna mtu aliyewahi kuitumia naomba atujuze utamu wake. ReactOS 0.4.11 released | ReactOS Project
1 Reactions
2 Replies
2K Views
kampuni ya Nokia imetangaza jana kwamba wanarudi tena kwenye soko la simu baada ya kuipa haki kampuni ya HMD kutumia jina na technology zote za Nokia. Kampuni hii ya HMD ambayo imezinduliwa jana...
11 Reactions
74 Replies
11K Views
Jamani wanajamvi naomba kama kuna mwenye uelewa na hii kitu anisaidie kutatua tatizo. Laptop ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lakini ghafla screen ikawa ya rangi ya blue then ikasema kuna tatizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninajaribu kuingiza data but inagoma shida ni kwenye jinsi ya kuset varriable za values. include 'connection.php'; ?> if(issert ($_POST ['save'])){ $username =$_POST ['username']; $password...
0 Reactions
2 Replies
626 Views
wakuu mara nyingi ninapojaribu kufuta thread zangu ambazo nadhani natakiwa kuzifuta huwa nashindwa.Kuna namna ya kufuta au mods wamerestrict? msaada wenu unahitajika
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu wa Tech naomba msaada kidogo. Nimejaribu kupitia forums mbalimbali za habari za Tv Box kama vile Android TV box. Kuna maswali bado yananitatiza as sikupata clear cut answers. 1. Tofauti ya...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Help plz!! Mfano umeshanunua product online mfano simu or laptop ikasafirishwa inafikia Dar?, Then wana office zao (mawakala) or unapokea mtu uliyeagiza? Or inafika hadi mkoa ulioandikia address...
3 Reactions
107 Replies
15K Views
Naomba mnisaidie app nzuri ya kudownlod nyimbo za video isiwe tubemate hiyo siitaki.
0 Reactions
9 Replies
24K Views
Habari zenu wakuu....... napenda kujua hizi system tunazotumia mfano hii ya kuomba ajira.... inasumbua sio kidogo... sometimes hata kufunguka tu tabu.... sikwambii kwenye kuapload vyeti hapo ndo...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
nimetengenezwa app kwa adroid user. developer amesema yeye anaweza android tu na amenikadhi app yangu. naomba mwenye uwezo wa kunitengenezea app hiyo hiyo isome kwa ios akuje inbox. mtu makini...
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Habari wanajukwaa.Siku chache zilizopita kuna mtu wangu wa karibu aliibiwa simu na cha ajabu zaidi huyo aliyeiba simu anaitumia kutapeli watu je inawezekana kumpata huyo mtu tukilifuatilia suala hilo?
0 Reactions
4 Replies
869 Views
wadau kwa wale ambao tunatumia burma tv kwa ajili ya kuangalia mechi za mpira kwangu kuanzia juzi naona inashindwa kufungua sijui kwenu wadau.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Guys i need a code number to hide your phone number when making a call in Tanzania. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari wana JF, I Hope wote humu mko salama. Kwa siku yaleo ningependa kushare nanyi njia rahisi ambayo unaweza kuitumia kuweza kubadilisha muonekano wa Google Chrome ikiwa pamoja na kufanya mambo...
0 Reactions
19 Replies
38K Views
Naomba msaada jinzi ya ku root simu yangu aina ya Tecno WX3 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
747 Views
Kwa wale wote ambao wanatumia simu za Tecno S1 ambazo zimefungwa na mtandao mmoja wa tigo, Line one imefungwa kwa ajili ya kutumia tigo tuu na line 2 unaweza kuweka laini yoyote ile, ila ili uweze...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wakuu!! kuna swali linanichanganya hapa kuhusu wiring standards kwenye Module ya Maintain of network and it's components. Sawali linasema hivi. Briefly explain two wiring standards 568A...
0 Reactions
3 Replies
895 Views
Halotel vifurushi vya University Internet yake majanga
1 Reactions
49 Replies
23K Views
PHP
Naomba kama kuna mtu alietayari kunielekeza vitu vichache tu kwenye php , practically oriented. location awe Dar!! ni pm tuongee vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom