Habari wakuu, naomba msaada wa setting ya simu tajwa Samsung j4 upande wa gallery, nikipiga picha au video baada ya muda fulani sizipati zimefutika, hata kwenye file manager hazionekani, naombeni...
Kwangu mimi ni kama hivi
1. Call Of Duty 3 na 4 pamoja na COD special force.
2. Assasin Creed 2 na 3
3. Need for speed most wanted.
4. Ghost recon
Haya magame utayafaidi ukiwa na processor ya...
Habari wakuu.
Baada ya kufatilia sana simu gani ninunue yenye ubora na inayoendana na kipato changu nimeona ni bora ninunue Note 3.
Hapa nimezingatia ukubwa wa betri (3000mAh), RAM, internal...
habari zenu wadau ninaomba msaada wa kujua nifanye nini juu ya hiy simu niliyotaja hapo juu iko poa sana kwakwel perfomance iko fast camera iko quality tatizo ni kwamba nikiichomeka kweny chaji...
Habari zenu,naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku tano zilizopita nilinunua smart TV Aina ya HOMEBASE inchi 43 Kama ilivyokawaida smart TV nyingi Zina receiver.
Sasa shida yangu ni kwamba...
Salaam wadau wangu wa nguvu.
Naomba msaada kwa yeyote mwenye ujuzi na hili tatizo la laptop yangu.
Nimenunua laptop kwa mtu aina ya FUJITSU nadhani ni kutoka japan tatizo lake ni pale ninapotype...
Mashine msàada kusaga nafaka inayotumia umeme, imekua inafanya kazi kwa miaka mitatu sasa ila kwa sasa kinu kinatikisika mno, pamoja na jitihada za kubadilisha bearing kufanyika. Mwenye uzoefu...
Laptop ni dell latitude D630
Ilkata sauti ghafla, speaker hazitoi sauti wala ukichomeka earphone haitoi sauti pia.
Nimebadilisha window na driver mara nyingi mpaka zinaniambka zipo up to date...
Habari wanajamvi
Naomba kujua ni wino upi ni bora ku refill catrage maana awali ilikua ni ki refill unakuwa fresh ila baada ya kununua catrage mpya na ilipo isha niki refill ina faint sana yaani...
Natafuta simu tajwa hapo juu yoyote anayejua ataipata hata kwa dili au njia yoyote ..Ila iwe mpyaaaa!!!
Na ni ghali lakini budget yangu ni laki 5.
Interested karibu inbox.
Kwa picha cheki...
Habari wanajamvi
Nataka ninunue solar kwa matumizi ya kawaida, taa nne, tv na subwoofer ndogo kwa ajili ya magetoni. Sasa naomba ushauri, hivi solar ya 40 watts itatosha!? Na je battery nichukue...
Nlinunua mda c mrf hii PC n HP mini ikawa haina driver nlipozrun nkarestart ikagoma kuwa ikaandka window error nkatak kupga wondow option zkagoma nkatoa nkapga kwa pemben window 10 upya nkarudisha...
Two-factor authentication helps better protect online accounts from hackers. Facebook offers this security feature, too. But there's a catch.
In recent years, Facebook has woefully neglected the...
Wakuu nimejichanga nikachangika kutokana na anko magu kuchukua koro-show zetu bila kutulipa nikapata 250000 nataka kununua simu used ya korea aina ya lg k 10. Je wadau mnanishauri nini?
get well...
Kwa wale wanaoingia instagram mfano unakuta iko hivi (joseph patrick started follow you) afu ukifollow unakua umemuongeza kwenye idadi ya marafiki,naomba mnisaidie huwa wanafanyaje mpaka inakuja...
Habari wadau
Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo matumizi ya bati za migongo mipana maarufu kama msouth katika kuezeka nyumba zetu. Kiukweli ni bati ambazo zinamwonekano mzuri ukilinganisha na hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.