Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimeiona sehemu lakini nikiwapigia hawapikei. Anayeifahamu aniwekee data zake hapa. Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina samsung note 4 ni mpya. Nikidial USSD Codes kama vile *150*00# au *149*01# ikikaribia kama step ya 3 au 4 inakata. Inaleta ujumbe huu hapa chini, Msaada tafadhali,nifanyeje? Cc CHIEF...
0 Reactions
8 Replies
792 Views
Naombeni kujua hivi Mtu akisema "Iphone Icloud". Imepo locked Ina maana gani kwenye IPHONE Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wadau, Nina music system aina LG 4000W (PMPO) Inanisumbua sana upande wa sauti, kuna kipindi nikiwasha sauti haitoki kabisa ila zile graph za kuonesha kupanda na kushuka kwa sauti zinakuwa...
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Waungwana!Nahitaji Betri Za Camera Kama Zinavyoonekana Hapo!Check Me check Me Out Inbox Kama Unazo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Wakuu, Naombeni msaada ndugu zangu,simu yangu (LG G5) baada ya kureset nikiweka line napata notification hii "Invalid SIM". Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
811 Views
MULTIUSER How I can make registration html form for 3users? after making it , enter data into school database by Post php method 1.admin 2.students 3.teachers help me. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
8 Replies
938 Views
nasikia kila siku hili neno naombeni mwangaza
0 Reactions
25 Replies
5K Views
wadau kwa wanafahamu aina za rangi ninaomba kufahamu hizi ni aina gani za rangii kwa majina yake. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba nielekezwe jinsi ya kulock TV stesheni ya TBC kwenye kingamuzi, Nina wadogo zangu 2 watakuja kunitembelea kwa muda wanatoka kijijini watafika kesho,sasa sitaki wafike hapa waanze kuitazama...
10 Reactions
53 Replies
6K Views
Wakuu naombeni msaada maana Google nimesearch leo wiki ya pili bila jibu yani sijapata jibu wala app ilofanya kazi pleaze najua wenye shida hii tupo wengi ivo tunaitaji msaada wa mnaofahamu, simu...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Playstore yangu haitaki kuapdate applications,kila nikijaribu inaleta haya majibu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
809 Views
Nimefanya factory reset imewipe data na kuanza upya ila imehitaji email account nlyokuwa naitumia ila mi nimesahau email kwani alienifungulia hii simu kwa sasa sina mawasiliano nae msaada niko Dar...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
WAKUU mambo vp? I hope mko pow? Mm nilikuwa naomba kujuzwa jinsi yakutumia Tapatalk app maana hii app ya JF inazinguwa R.I.P Kibonde
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Pasted Na Mathew Kwembe, Tabora WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mhe. Seleman Jafo imezitaka Taasisi zinazosimamia mifumo ya elimu kutoweka vikwazo na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Non hosted adsense account inauzwa, njoo pm tuyajenge. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
472 Views
Msaada tafadhari play store haioneshi picha nifanyeje?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
APPLE WACHOMOA UBORESHAJI WA IOS 8.01 Wiki moja baada ya kutoa iOS 8 Apple wamelazimika kuboresha (update) OS hiyo na kutoa iOS8.01, lengo la uboreshwaji huo lilikuwa ni kuondoa baadhi ya...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu ni nahitaji Mtaalam anaye weza kuweka Google map kwenye application ya android studio iweze kuonyesha location na mda kama ilivyo ya uber naomba na bei pia ili aifanye kazi hiyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wataalamu, Binafsi nimekuwa "curious" kujua ni kwanini nyambizi (sub marine) hazizami pale inapotokea inapita chini kwa chini ya bahari " inabehave kama samaki. Binafsi pia nimejitahidi kufuatilia...
1 Reactions
2 Replies
877 Views
Back
Top Bottom