Habari Wanajamiiforum, Naomba msaada PC Yangu Haisomi Mlango Nilikua Nahitaji Kupiga Windows 8.1 Kwa Kitumia Flash Je inawezekana Kama Tunavyofanya Kwenye Windows 7.
Sent using Jamii Forums...
Wadau,
Kwa muda mrefu sasa huwa nikija Mbeya na Line yangu ya Voda, mtandao unasumbua sana hasa Internet, nishawaambia Voda zaidi ya Mwaka sasa naona Tatizo hawajalifanyia kazi.
Naombeni ushauri...
Wapendwa sijui hizo apps mbili pendwa na wengi zimekumbwa na nini.Ukijaribu kuingia hazifanyi chochote.Tatizo kubwa kama hilo lilishaikumba Facebook miaka ya 2008/2009 kama sikosei.Bbc pia...
Kwa wale wahandisi wenzangu naomba msaada wa jinsi gani naweza kujifunza na kuimudu masterseries
Au kama kuna member(mhandisi) anaweza plzz tuwasiliane
dismas.elly@yahoo.com
Wakubwa naomba msaada simu yangu imeingia maji,hii ni mara ya pili mara ya kwanza iliingia maji ya bahari nikaiweka kwenye mchele usiku kucha asubuhi ikawaka safi. Sasa jana tena imeingia maji ya...
Ni Dell Latitude E5420 iliyo na
1. Processor intel core i5 2.3Ghz support turbo boost up to 2.9 Ghz
2. Harddisk 500Gb
3. Ram 4Gb
4. On Battery 3hrs
Bei yake naitupa 350K
Nawakaribisha...
Nisaidieni wadau njia gani inatumika kubadilisha HMQ kwenda M PESA
mwenye ujuzi atujuze coz nmetafuta nmeshndwa nielekeze kwa step mdau unaejua
na Nkisema HMQ kam unajua nazani utanilewa
plz
Salaam kwenu wajuvi wa high technology! Mimi ninatumia gmail kwa muda usiopungua miaka 8. Nimetumiwa email kutoka gmail (verified) ikiniambia kuwa account yangu inafungwa mwishoni mwa March 2019...
157 people recently died in a tragic crash. The crew and passengers of Ethiopian Airline Flight # ET302 on board a brand new Boeing 737 MAX 8 never had a chance.
The less than three months old...
Habari wadau,
Nimepita duka la Mo Electro pale Dar mjini karibu na Clock tower nikavutiwa na bei za mafriji yao.
Je kuna mwenye experience nazo mana yasije nikuta ya "cheap is expensive"...
Ni karibu week ya pili mtandao wa Halotel unasumbua huku kanda ya Ziwa lakini hamtuambii nini tatizo.
Hebu tuambieni maana MB zetu mpaka zinaisha muda wake network hakuna ikija inakaa dakika kadha...
Azam App ni App ambayo inachanel zao mbali mbali watu wengi wameweka katika simu tatizo linatokea pale baadhi ya matukio ya mubashara
Likiwa KUBWA na watazamaji wengi ,App inafeli inashindwa...
Hello bandugu,
Nilikuwa nauliza hivi ndege inapikimbia kwenye runway wakati ikijiandaa kuruka, matairi yanakuwa yanazungushwa na injini au inatembea kutokana na msukumo unaofanywa na injini huku...
Pokea laki mbili kila mwezi kwa kujiunga na GOOGLE ADSENSE
Sikuhizi kumekua na blog na website nyingi sana lakini ukiwauliza wanapokea kiasi gani kwa mwezi,ni kilio cha mbwa koko kwani mtu...
Habari zenu wanajukwaa
Naomba msaada wenu ni wapi ninaweza kupata kampuni nzuri ya IT ambayo wataweza kunitengenezea system kwa ajili ya workshop yangu ambayo inafanya kazi sambamba na duka la...
Habarini
Naombeni Msaada Wa Namna Ya kudownload video iliyo kwenye website,Sioni namna ya kucopy URL wala Namna Ya Kudownload! Nimejaribu Ku screen Record kwa Kutumia Iphone Lakini Haitoi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.