Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Heshima kwenu mafundi na wana JF wrote! Hapa kwangu nina tatizo la kuta za nyumba yangu kupukutika rangi sehemu za chini nimerudishia rangi lakini baada ya mwaka tatizo linajirudia . Naomba...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Msaada kwa wenye utaalamu wa kufanye setting za simu, nina simu OPPO R11s nimeichukua kama wiki1 hivi iliyopita ila baada ya kutumia upande wa Camera nikagundua kuwa haina uwezo wa kuondoa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu mbalimbali nimenunua briefcase kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vya siri lakini nimeshindwa kuset password ili niweze kufungua kwa namba mmi peke angu naomba mwenye ufahamu na hilii...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau na wasio wadau, nimenunua hii modem hapa chini:- Ajabu ni kwamba, sipati option na yenyewe wala haifanyi jitihada zozote za ku-install software!! Baada ya kupita hapa na pale, nikakuta...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa nguvu yoyote wana Jamii naomba mnisaidie kuzuia UVAMUZI wa Appk ya Vskit kwenya simu yangu, Ni adabu mbaya sana appk hii Kiiila niki BLOCK Huja tena na tena kwenye uso wa simu ambayo bando ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mambo vip Jana usku nimemalza kutumia pc yangu fresh tu,nikaizima nikalala Leo naamka naiwasha haiwaki,nikachomeka adaptor mana nilihis haina moto, cha ajabu hata ile LED ya kwenye pc...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa simu yenye uwezo mkubwa hasa kwenye upande wa internent binasfi natumia s6 plus edge Samsung kwa low mtandao naona haifanyi vzr sana hasa huku nilipo sasa ni kijijini sana...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba anauefahamu Halotel Internet Settings anigahamishe. Shukrani.
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Naombeni maelekezo Tafadhali, hiyo ndio shida yangu, Asante
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Bandugu heshima kwenu, Heading kama ilivyo ndivyo navyotaka kufanya. Nina drone aina ya phantom 4, mimi ni video shooter, nataka kutumia drone kurusha video kwenda kwenye screen. Kuna ka function...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanajf Mimi kijana wenu Niko Dodoma hapa na hitaji laptop yenye processor ya kuanzia 2 GHz na chaji angalau 2hrs bajeti yangu ni 230k asanteni ni Pm kama unayo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu members , mimi nahitaji kujuzwa aina mbili za video call app bora na zenye picha bora anijuze. Nimeshawahi kukutumia baadhi ya video call app lakini zina matatizo yake, hazina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi, msaada jamani, ninapokopi CODE za tangazo la Google AdSense na kwenda ku-paste katika Blog tangazo lile linakuwa halionekani (view). Tatizo litakuwa nini? Help! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Napenda kufahamishwa program ambayo nitaweza kurisize picha na kuziandika jina namba na signature (usajili wa wanafunzi f 4) kwa mahitaji Yale ya Necta Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
638 Views
Unakuta umenunua vi MB 30 au 40 unataka usome email au messages za muhimu whatsapp au mawasiliano muhimu lenyewe linaanza kuji update linakomba viMB kabla hujafanya ulichokusudia unakuta vumeisha...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Salaam Humu Mimi no developer wa apps Sasa nimelink na admob kila tarehe 21 wanatuma hela Sasa mpaka Sasa Hivi hawajatuma emails ya kuonesha malipo yametumwa Sasa sijui kwangu tu au na wenzang
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina window phone 8 haidownload whatsApp wala Facebook app haifanyi kaz naomben msaada wakuu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar zenu wadau nipo hapa leo nahitaji msaada mimi ninamiliki web app ambayo inamatangazo ya adsense sasa nataka niongeze matangazo ya admob kujiongezea kipato lakini ishu sijui kama kwa sheria...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu habari zenu ....... Nadhani heading inajieleza naomba msaada namna ya kupandisha script nilonayo kwenye hosting acc kwa ajili ya website kwenda hewani msaada tafadhali nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello wadau msaada plz.! Kuna MTU nilimpa Simu Yangu samsung 7 Prime, kujakuchukua Simu hivi hakuna kinachofanyika inaniletea ujumbe NOT REGISTERED ON NETWORK Msaada plz Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom