wakuu habari za muda .... nina tatizo ninahitaji kufanyiwa setup ya website mpya ambayo nina source code tayari hivyo kuna vitu nimekwama tafadhali njoo pm tufanye makubaliano ili tufanye kazi...
Wakuu naomba mnijuze naweza vipi ku install katika iPad apps ambazo awali nilizi install Mara ya kwanza na baadae nikazifuta. Apps hizo ni Facebook na imo
Nimejaribu kwenda katika store ya apps...
Hizi ni Bugs ambazo Nakutana nazo Mara kwa Mara ...Angalia Hio picha kwenye Dp upande wa Replies Juu inaonyesha Vingine na Chini Inaonyesha Vingine Wakat Picha Halisi ya Dp niya upande wa Chini sa...
*UTEUZI*
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko kidogo katika muundo wa Serikali kwa kuigawa Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria...
Wakuu heshima mbele.Nina kilaptop changu,kimeniletea matata.Jana wakati najaribu kuinstall AVG antivirus,ikaonesha kama mistari mistari kwenye screen halafu ikaacha kudisplay
Nikaizima...
Kuwa TV si kazi ngumu lakini kazi ni kuchagua TV iliyo bora kulingana na bajeti yako. Kwa kuliona hilo nimeamua kufanya utafiti na kuchagua TV zilizo bora kulingana mahitaji na kipato cha...
Na Maryam Kidiko - Maelezo. 02.03.2019
Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Hassan Khamis Hafidh amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itachukuwa hatuwa kali kwa Mfanyabiashara yoyote...
Nina changamoto kidogo, Camera ya Sumsung Galax A6 inabadilisha size ya picha yenyewe. Mfano naweza seti Megapixel 16 baada ya muda nakuta iko Megapixel 10. Hili linatatuliwaje?. Asanteni.
Sent...
WOW [emoji3][emoji3][emoji3] RWANDA MADE IT[emoji341]
It was history made , as Rwanda launched the first ever Satellite in its skies to connect schools with internet across its remote parts of...
Salam waugwana wa jukwaa hili pendwa.
Nimekuwa mtumiaji wa simu ya mkononi kwa muda mrefu tu pia badhii ya vifaa kama kompyuta n.k. Sasa kifaa kama simu ikiwa kitatunzwa vizuri bila kupata...
Wakuu naomba mwenye kujua app ya android itakayoniwezesha ku lock torch ya simu ili kuzuia tochi hiyo kuwaka kwa bahati mbaya (mara nyingi hutokea wakati simu ikiwa sikioni )
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.