Hivi watu ambao hua wanasema tecno ina camera nzuri hua wanalinganisha camera ya tecno na camera ya simu gani?
Mimi nachojua tecno hua wanatoa camera zenye megapixel nyingi sana, unaweza kukuta...
Universal Android app Template IPO.
Unaweza Tengeneza app ya aina mbali mbali kupitia template hii:
App kwa ajili ya blog ya WordPress+ blogger
Webview app
YouTube channel App
Online TV + Radio...
Wataalam wenzangu,kwanza kwa hapa dar astra 2F @ 28'E na nilesat 7'W zinaweza kupatikana kwa dish saizi gani na ku aina gani?na kama kuna yeyote aliyewahi kupata zote hizo au mojawapo, aweke...
Nina simu yangu ya Nokia inatumia window 8.0 nataka ku update msaada wapi naweza ku update ata kama Kwa link plz share
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Nina application yangu nimeiachia play store inaitwa hellodokta (Beta version release now) inayousu maswala ya afya ya uzazi wa kike na kiume pamoja na afya ya mtoto. Basically app hii...
Naomba msaada wadau, wapi naweza kupata powervu software ya hometech receiver na firmware reciever zangu zote zinafungua hbo pekee,zinagoma kufungua AFN SPORT na SONNY package. Msaada wenu...
Je umemaliza maswala ya IT hasa Programming kwa kutumia C++ (with MySQL)?
Nipo na kikundi cha Watanzania kadhaa katika kuanzisha Biashara ya IT.
Tunatafuta Wataalamu wawili ambao watakuwa Wabia...
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu quality ipi inafaa kwa kifaa kipi, unakuta mtu anasifia sana anacheki muvi ya 1440p kwenye laptop yake na mwengine anasema 720p ndio inafaa kwenye tv yake inch...
Nifanyeje ili nitumie monitor ya pc kuifanya tv. Yaani monitor kuigeuza tv screen. Nafanyanje kama inawezekana. Nasimia wanyarwanda wanafanyaga ivo. Sijui,
Habar za mida hii wakuu, naomba kusaidiwa Jins ya kufix video stuck katika laptop yangu ni HP min nikiangalia video au movie yoyote kwenye laptop inakuwa ina scratch na kustuck wakat nikiamishia...
Mashine ya simu yangu imekufa..baada ya kupiga shoti..ninaomba mwenye mashine ya sim tajwa aniuzie.namba yangu n 0719098138
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam!
Naomba kujua video format ambazo ziko supported na Tv za Star X ambazo sio smart tv maana nimejaribu ku Play MP4 zimegoma!
Naambiwa kwa kiingereza cha ki china Video Not Support
Habarini wakuu, Mimi nimekumbwa na dhahama ya huyo mdudu Ni wiki mbili sasa zimepita. Nimejaribu kurestore PC ILA hakuna nafuu yoyote, Natumia Windows 10(64bit) na built in antivirus(ambayo naona...
je! wadau kuna madhara gani kama huku update hizi app kwenye simu za android(chrome,google drive,gmail,google photo na YouTube).
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta miwani ya jicho moja(yaani kwa mtu anayependa kufunga jicho anapopiga shabaha ndio wanaoitumia), Au kikamba fulani hivi wanavaaga watu kinakuwa na kijisehemu cha kufunika jicho moja. Kazi...
Habari wanaJF.
Nafanya tally erp 9 configuration katika ishu zangu lakini NIMESHINDWA NA BADO SIJAFAHAMU NAMNA YA KUFIX NUMBER OF ITEM PER PAGE WAKATI WA KUPRINT.
MAANA KUNA WAKATI INAPRINT ITEMS...
Samahani, WanaJF!
Naomba mnitajie majina ya vitabu vya Information Technology (IT) vinavyohusiana na "DATABASE, "NETWORK" & "HACKING SYSTEM" navihitaji sana.
Kama mnazo link za vitabu hivyo...
Naomba elimu hizi smart phones na esp WhatsApp watu wanashare photos m,bali mbali na zinajisave automatic kwenye galley....how do I avoid this inajaza simu na un wanted photos...
SAIDIA ELIMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.