Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
nimekua nikijuuliza kwa mda sana ni namna gani app developers wananufaika na app zao, na je unaweza kutengeneza shingapi kwa kila app uliyotengeneza naombeni msada wenu wakuu kw mwenye ujuzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wakuu na jua mnaendelea vyema na majukumu ya kujikwamua kimaisha tuko pamoja naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenyewazo la aina gani ya app nitengeneze itakayo nisaidia kutatua matatizo ya...
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Habari wanajamvi ,nilisajili mpesa-mastercard na nikawa naitumia vizuri ,mnamo tarehe 23 mwezi huu inanikatalia kufanya shopping online kila nikijaribu inaniambia payment is Unsuccessful...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Kwa wale wanaojua vizuri computer hasa specification hii mnaionaje? Je ni nzuri upande wa speed, graphics na uwezo wa kusukuma pc games kubwa, graphic design nk Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Wadau habar zenu?? Naombeni kuuliza Eti kati ya IPhone na Android ipi ni nzuri kimatumizi Pia hata ki Ubora ..? Ukiachana na Nijuavyo Iphone ni nzuri kiulinzi Je nikitu gani Kingine bora kwenye...
1 Reactions
120 Replies
21K Views
Habari wakuu. Poleni na Majukumu. Wakuu nimepata changamoto baada ya kununua simu Online (aliexpress). Simu hii imegoma kusoma SIM CARDS za hapa Nyumbani Tanzania. Nimeangalia ABOUT...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu habari nilikuwa na software hapo juu kwa sasa inanidai serial keys msaada wa kupata nyingine cc CHIEF MKWAWA Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
646 Views
Kama kichwa kinavyo sema naitaji desktop computer ila naitaji iwe ya bure yani bila haddisk whatssap me 0689808619 tufanye biashara
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada jamani ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu. Nimekuwa na interest ya kujua kutumia drones natamani nimiliki ya kwangu mwenyewe siku moja, nachopenda kujua ni bei za drones za kawaida au kuchezea kwa hapa Tz. Sent...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
•Nafanya Flashing ya Smartphones kama imekua "HARDBRICKED" Kwa maana simu haiwaki kabisa au "SOFTBRICKED" Kwa maana smartphone yako either ina bootloop to recovery or Android logo. •Pia nafanya...
1 Reactions
0 Replies
760 Views
Habari za asubuhi wana jamvi, nina simu yangu aina ya exbonilikuwa natumia line zote baadae ikaingia virus nikaamua kui restore sasa cha kushangaza sasa hivi zile line hazisomi mtandao, nikienda...
1 Reactions
1 Replies
639 Views
Kwa wale wenye uzoefu na adsense ni kwamba unapokua umefanikiwa kukusanya kiwango fulani basi kuna taarifa za kiposta unatakiwa kujaza ili utumiwe PIN ya kuthibitisha anuani yako.Maswali yangu ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Eti wataalamu wa mambo kati ya hivi vifaa vya umeme fridge ina 90Watts na radio ina 250Watts vikiwa kwenye matumizi ipi inakula umeme sana?
0 Reactions
63 Replies
21K Views
Monitor ya pc yangu imeweka mistari ya rangi ya kijani iliyosimama wima. Kwa anayejua chanzo cha tatizo na makadario ya gharama za matengenezo msaada tafadhali... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, kuuliza si ujinga. Naomba kujua maana na matumizi ya hizi Code. 1. Postal Code 2. Zip Code Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Wana JF Napenda kujua kuhusu matumizi ya gesi katika magari badala ya petrol. 1. Ni kifaa gani kinahitajika kubadili mfumo kutoka petroli na kutumia gesi? 2. Je, ukifunga kifaa hicho unaweza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau poleni na majukumu, ombi language ni kupata application time watcher kwa ajili ya kutumia kwenye Internat cafe Please naombani msaada wenu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Habari za mwamko wakuu humu ndani, nabandika uzi huu ili tulijadili kwa pamoja swala hili. Binafsi Nina roho ya huruma pale mtu unakuja na shida serious unataka kuzima pesa. Nitolee mfano mzuri...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Je, iPhone ni simu zisizoweza kudukuliwa? Wengi wamekuwa wakiamini hivyo ila kutana na programu ya Karma, programu hii inasemekana inazama ndani ya simu za iPhone kwa urahisi sana. Skendo ya...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom