Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwenye link naomba aitume hapa niweze kudownload hiyo setup..kwenye window 7
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta Google adsense ambayo ni Non Hosted. Njoo Inbox Karibu.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nahitaji adsense account iliyotia hela kama unayo nicheki inbox au piga namba 0755288579
0 Reactions
7 Replies
811 Views
Jana wakati natafuta tafuta games kwenye PC nikakutana na uzi wa the great wizard, kushusha games kupitia oceanic games. Nikaingia nikashusha games kadhaa ikiwemo Assasin creed. Ila sasa baada...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hua napiga picha ndio ajira yangu Mpya naomba mwenyewe ujuzi anaitajie application nzuri niwe na edit picha za wateja Asante nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau mwenye source yeyote ya kuweza kupata m3u8 for live streaming games anisaidie please. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
693 Views
wakuu habarini, simu gani nzuri ambayo naweza kuipata kwa bajeti kati ya 300k-400k...asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu mi napiga telecomm engineering nimekuwa najiulizaga kuhusu MSAN zinazofungwa pembezoni mwa barabara zina kazi gani kwenye mawasillano mwenye ufahamu wa hiki kitu tusaidiane Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada kwenye tuta nina simu 5 zimekufa software za huawei na Tecno n8 nimedownload new firm imejaribu kuinstall na usb via SP tools bado zinagoma naombeni ujanja mwingine wanajukwaa
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Kwa anayejua frequency za kiss fm radio za sasa,maana nimewatafuta kwa 98.9 hawapo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua kama powerpoint ina uwezo wa kutengeneza tangazo linalotembea kutoka kulia kwenda kushoto kwa kutumia powerpoint, kama inawezekana naomba msaada wa maelekezo, natanguliza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale watumiaji wa Nokia Android phones, hii hapa plan ya kupata updates za Android Pie (9). Kama upo kwenye list ya below 29th Jan... Kindly check you updates and update...
4 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari wakuu.. Naomba msaada kwa anayejua namna ya Ku unlock Vodafone 301 ili iweze kutumia line zote. Hii simu ni ya line mbili lakini cha ajabu sehemu zote za line zinataka line ya voda tu...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Tatzo: Nina POS system nataka ku fanya iwe na uwezo wa kuprint receipt za TRA .. how can i achieve this? Program ime andikwa kwa java.. Sent from my iPhone using JamiiForums
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Jaman naombeni msaada kwa wale watalam wa computers ! Nifanyeje Laptop yangu battery yake iweze kukaa miaka mingi bila kupungua uwezo wa kutunza moto ?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF, Najua wote hamjambo na mmeamka salama, kwa wale wagonjwa au wenye matatizo ya kimaisha tunapenda kutoa pole zetu za dhati na kuwaombea mwenyezi Mungu awape wepesi. Baada ya kusema...
2 Reactions
36 Replies
7K Views
Kuna mtu anahangaika kukonnect Simu yake isomane na Samsung tablet ili asomee internet kwenye tablet Simu ya Techno F2 haitaki kusomana afanyaje? Kwenye komputa Simu na komputa zinasomana na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnijuze ni ipi OS nzuri kwa hiyo machine ili isidrain battery na pia iwe fast
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Wakuu km kichwa kinavyojieleza hpo juu nimesahau password ya kwenye laptop yangu inayotumia window 10 kwa yoyote mwenye idea pliiz anisaidie Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom