WAdau:TV yangu samsung 32 nchii ilipasuka kioo sasa najiuliza kama kuweka kioo itakuwa sawa na mpya au niache nitafute fedha ili kununua mpya.Naomba ushauli jamani.
Gervase
Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kuwa King'amuzi cha azamtv ukikinunua kutoka Zanzibar unapata local channelz kama TBC, clouds tv, StarTv, EATV, ITV na nyinginezo.....Mwenye kujua hili naomba...
Habari wana JF, Karibuni tena tujifunze kidogo kuhusu mambo mbalimbali ya teknolojia, najua kuwa wote mmeamka salama, kama kuna aliyeamka na tatizo usijali hayo yote ni sehemu ya maisha.
Kwa siku...
Habar Watalamu...
Nipo kwenye maandalizi ya kufanya mtihani wa kwanza wa OCA...
yaani najiandaa na SQL Fundamenta I (EXAM IZO-051)..
Sasa natafuta mtu ambaye anaweza kunipa msaada wa kukonect...
Hellow
Nlikuwa na iPhone 6+ from China, Sasa nikafuta kila kitu yani. Sasa simu ikajiprocess hadi kustart upya, ikaniguide kuset lugha nikaweka then nchi nikaweka
Sasa next ikawa inahitaji...
Wakuu Habari zenu? Naomba msaada wa drivers na software kwa mashine ya kuremba kucha NAIL D PRINTER (CHINA MADE) Haina model wala serial number ila computer inaitambua kama Lenovo 3000 Series uki...
Electric vehicles are the future.Ever wondered how much energy electric vehicles consume? Below are Tesla model data.
Tesla Range Plotted Relative To Speed & Temperature (Graphs) | CleanTechnica
Wakuu kuna audio ipo kwenye radio ya Pangani Fm kuhusu historia ya Wanyiramba
Nimejaribu ujanja wote nimekwama kudawnload audio hiyo
Inataka ulog in ndio udownload lakini hakuna mahali pa...
Wakuu kama mzalendo wa nchi niliamua kuwaunga mkono TTCL kupitia T-Pesa cha ajabu ndugu zetu hawa wamekosa uhaminifu kabisa!!
Zaidi ya Mara mbili nimenunua airtime kutoka T-Pesa kuja kwenye no...
Kama inavyojieleza. Nimekumbana na hili tatizo kwenye hii aina ya simu ambapoa... Internal memory inapungua tu hata kama hauja download kitu baada ya muda unaona interna memory imepungua mb 5-10.
OKAY sio mwongeaji sana ila
dhumuni ni
1. ku protect watu wenye uelewa mdogo na viruses
2. kuchukua tahadhari na kulinda vifaa vyako vya office , biashara n.k
haina haja ya...
Wakuu laini yangu ni 3g hivyo nimejaribu kuswap ili nipate 4g, ila cha ajabu nimejaribu mara mbili kuswap na swap line zimeandikwa 4g lite... Ila nikiweka kwenye simu bado napata 3g...
Wakuu wapi...
Nisaidieni hapa kuhusu hizi machine za wachina za kudumbikiza token/coins .. mfano ukidumbukiza coin ya mia mbili unakuta inatoa Tsh. 30,000/- .. ila me nikiweka coin za Tsh. 2,000/- Naweza...
wakuu nianze na salam..Nina banda la mpira na nimekua nikitumia Tv za HISENSE LED 55'. kutokana na hali ya usalama inanilazimu kila siku nizihifadhi tv sehemu salama baada ya game. sasa nimepata...
Wakuu msaada wa kutatua ttzo la led screen inayoonesha mostari ya white picha kufifia na rangi kubadilika.. Mara inakuwa kama dhambarau mara normal... Picha kuonesha imefifia na hata kuganda au...
Wakuu laini yangu ni 3g hivyo nimejaribu kuswap ili nipate 4g, ila cha ajabu nimejaribu mara mbili kuswap na swap line zimeandikwa 4g lite... Ila nikiweka kwenye simu bado napata 3g...
Wakuu wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.