Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za asubuhi, Asubuhi ya leo nafungua account yangu ya instagram nikakutana na kitu iki, siwezi ku'log in, msaada mwenye ufahamu na ili. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Eti Unaweza kuwa Tanzania na kutumia sky decoder? au unaweza kununua sky card kwa digital money na upate sky ID utumie kufanya sky subscription ukiwa unatumia sky app for mobile
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habar za sasa hivi wadau! Naomba mnisaidie gharama ya kioo cha laptop tajwa hapo juu, iwe used au kipya! Na mahali ninapoweza kukipata(dukani au kwa mafundi) Naomba niwasilishe! Asante Sent...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu habarini za jumapili. Rejeeni mada hapo juu nipo dillema Sina umeme hapa nyumbani kwa miezi 5 Sasa toka nilipie nguzo Moja tanesco Kila Leo nguzo hakuna na watoto kusoma...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
Naomba kwa wale wapekuzi wazuri wa mitandao na wafuatiliaji wa habari kuhusu ku spy simu ya mpenzi wako rafiki au mtoto wako kwa kutumia computer na anae jua software yoyote ile ambayo iko poa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau! Ningependa tujuzane kuhusu games nzuri za magari na mpira ambazo mtu unaweza kuya download na ku enjoy kwenye smart phone yako. Karibuni kuchangia katika uzi huu
2 Reactions
358 Replies
152K Views
Wakuu,simu yangu inaniletea huo ujumbe "Google play services won't run unless you update Google play services" Nimedownload na kuinstall latest version ya Google play services, lakini bado...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba msaada wenu nimetumiwa zawadi na ndugu yangu ya king'amuzi cha aljazeera ili niwe naangalia mpira kupitia Beinsports, sasa tatizo langu ni kwamba nimesikia huku kwetu matangazo...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Natafuta duka la simu zanzibar linalo uza simu bei nafuu nikipata namba za muuzaji itakuwa vizur ila hata ukinipa direction mimi ni mgeni hukuu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Habali waja Jr nawezaje kufuta data zangu kwenye SIMU iliyo potea msaada
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Ninasimu yangu ya Tecno Cx imekufaa touch nilikuwa nauliza gharama za kubadili touch Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Natafuta kiooo cha simu tajwa hapo juu pesa ipo mfuko wa shati..muhim ue hapa pwani au dar es salam Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Natafuta link ya adobe photo shoot. Msaada wenu, nimedownload moja haisapoti pc yangu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Unakuta mtu una laini mbili za simu na unataka zote ziwe na whatsapp, au unataka whatsapp application 2 kwenye simu moja, huna haja ya kuroot simu yako. Hii feature ilianza na Samsung note 8, na...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau nimekuwa nikipita mtandao wa Alibaba uwa naona vifaa kama hivi chini(kwenye picha) vinafana na USB flash vimeandikwa Analog Tv receiver kwa maana vinaweza nasa free to air channel na bei...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada simu tajwa hapo juu inajiweka ringtones kwa difault ukizima. cc Chief Mkwawa na wengine wote wenye ujuzi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa muda sana wabongo wanahaha kupata Account za paypal zenye uwezo wa kupokea pesa lakini kutokana na sheria za BoT bado giza nene ..... angalieni hii video nimeikuta YouTube nikitafuta njia na mm
2 Reactions
8 Replies
2K Views
FUNDI SIMU KARIAKOO Tunatengeneza battery zandani kwa ndani, hata kama umetafuta battery madukani kote umekosa! Ilete simu yako utapata battery lakutengeza na pia lakukaa nachaj! Whatsapp number...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu salama? Natafuta motherboard ya hp i3 generation 6. kwa mwenye nayo tafadhali tuwasiliane inbox
0 Reactions
2 Replies
1K Views
simu yangu haionyeshi mafail ukiiwasha inaleta maandishi yafuatayo "Hi there" halafu chini yake START
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom