Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimenunua iphone 7 used kwa online market baada ya kuiwasha(kufungua) nikafika mahali inaitisha ID ya mwenye alikua akitumia na wala sina njia ya kumpata.nimejaribu kugoogle nipate njia nikapata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hili ni tatizo ambalo kwa kiasi kikubwa limekuwa likizikumba Simu za aina zote iwe ni Android (Mfano Sumsung, HTC, Nokia, Tecno, Huawei n.k) au IOS (Simu zote za Apple, Iphone 4,Iphone X, Iphone...
2 Reactions
0 Replies
6K Views
Naomba kujua jinsi ya kuunda Wi-Fi yangu asante
0 Reactions
26 Replies
5K Views
what is 1.fixed technlogy 2.flexible techinology 3.soft tevhnology 4.hard technology and its examples please
0 Reactions
3 Replies
557 Views
Wakuu wasaalam , nahitaji kujua mbinu au njia iliyo bora kwa kuhack fb....just doing some funny kwa yeyote mwenye mbinu au njia anisaidie
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nimenunua iphone 7 ya kutumika kwa online market,nilipo inaitisha id ya mwenye alikua akitumia zamani.tatizo simjui wala sina hata njia ya kumfikia,Kama yupo mwenye maunjanja naomba msaada hata...
0 Reactions
9 Replies
815 Views
Wakuu nina kimeo changu samsung S8 touch yake imeacha kufanya kazi ghafla bila kuiangusha wala kuipa shuruba yeyote. Nimejaribu kubadili display nzima ila tatzo liko pale pale ikabidi nirudishie...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
HAbari wadau, naomba nielekezwe jinsi ya kulink adsense na blogspot. Kila nikiweka matangazo hayatokei
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf naomba msaada kwa wenye kujua chief mkwawa na wengineo nataka kununua simu siries za s yan sumsung galax sseries za edge , kati ya sumsung s7edge na s6 edge + ipi inakaa na charge ...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Wazee wenzangu nina shida kidogo najaribu kutengeneza video nahitaji software ya kuweka subtitle katika hizi video, mwenye nayo ama mwenye kujua software nzuri na nyepesi.. Video zina urefu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu Ndugu wadau Wa hili jukwaa la Kazi na Tenda, Naombeni msaada wenu hasa ktk steps za kuandaa profiles mfano Kwa upande Wa Sewer lines, Roads etc, Nimejalibu kupitia pitia documentary...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta mtu mwenye online shopping site yenye android app aniuzie , Hata akipatikana mtu anaeweza kunitengenezea online shopping site and android application tunaweza ongea bei Sent using Jamii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta graphics card isiyozidi 250,000/= with not less than 2 gb gddr 5 ram
0 Reactions
54 Replies
9K Views
Kuna hili swali mdau fulani ameniuliza kwenye inbox hili swali nimeona nililete huku ili lijadiliwe na wadau wengine kwa manufaa ya wanaJF sorry kaka, hivi wewe uko vizuri kwenye programming...
13 Reactions
15 Replies
6K Views
Jamani kwa anaelewa nini maana CPC kwenye Adsense naomba anieleweshe? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu na ushauri wa App muhimu kuwa nazo kwenye simu. Je, simu yako ina...
1 Reactions
55 Replies
7K Views
Tatizo la WhatsApp kutotumia Cellular data na badala yake ukiunganisha Wi-Fi inakunali. TECNO J8 Android version 5:1 Nafanyake wataalam wa IT na wadau wengine
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Kwa mwenye ujuzi tafadhali,nimenunua smartwatch ila ina tatizo,nikiweka line ya simu inaniandikia invalid sim,naomba mwenye ujuzi wa hizi saa anijulishe shida ni nini maana ni mara yangu ya kwanza...
2 Reactions
3 Replies
910 Views
Wadau naomba kusaidiwa ushauri, bajeti yangu ya kununua simu ni Tsh lakimbili na nusu (250,000/=) tu, ivyo nataka ninunue simu yenye thamani ya ela yangu, naomba ushauri wenu wakuu, mubarikiwe...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom